Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie naomba niwekewe kigoda mlangoni,
Itanisaidia kupunguza stress chemicals za huu uzee!!
kapewa BADILI TABIA.....ila naona wewe utafaa ile ya usalama,unaonekana mbabembabe vile unaweza kumbishia mtu asipite mlangoni hata kama kadi anayo. Unaweza kum PM badili tabia ili uwe makamu wake. ILA CHONDECHONDE WATU WANYWE HADI WAKOLEEE.kamati ya vinywaji amepewa nani mkuu? Maana wknd hii na jinsi hali ilivyo ngumu baa hakuendeki.
Hongera kwa kuzaliwa Mwanamke.....................
hahahahahaha babu Shkamoo..
mlangoni si ndo pressure zitaongezeka jamani..
labda tukuache u enjoy tu babu yetu hakuna kazi..
kwani mkuu wewe na Bishanga ni kabila moja???Hudhani eti....???
Basi mwombe Bishanga mwenyewe atueleze sijui dictionary au thesaurus yake inasemaje katika kizungu cha bongo!!
Ila binafsi nina wasi wasi sana labda pia tunaweza kuomba msaada wa independent consultant!!
tupe cv yako kwanza,unaishi wapi,mtaa gani na wadhamini wawili.happy birthday da
naomba kusimamia vinywaji, mwekahazina naomba hele ya vinywaji.
hilo nalo neno mkuu.hii hongera yako hii mtambuzi vp? Ungemalizia basi.
utakuja kwenye party ya nduguyo???ad zawadi nzuri sana
heri ya siku ya kuzaliwa dena amsi......mungu akujalie afya njema miaka tele
mzee wa mia!maisha marefu gani?we hujui ndo ana karibia kumaliza life span yake!bora angekuwa amepunguza mwaka!hongera zako. nakutakia maisha marefu yenye furaha. mia
Ha ha ha,wenyewe huita MHANVWA ila wageni wakashindwa kutamka hivyo wakaita MPWAPWA ......AJE Maeneo gani sasa???Happy birthday dena. Uwe na afya njema. Njo mpwapwa nimekuandalia zawadi.
kwani unajua life span yake au yako ni ngapi???mzee wa mia!maisha marefu gani?we hujui ndo ana karibia kumaliza life span yake!bora angekuwa amepunguza mwaka!