Happy birthday - dena amsi

Happy birthday - dena amsi

1.leo mtoto wa kike dena amsi amezaliwa......hongera sana dena kutimiza miaka....??...leo
2.mungu akulinde,akubariki na akuzidishie milele na milele.

Leo wana jf tunaunganisha sherehe za miaka 50 tunaanzia hapahapa, tunaanza na hii ya dena, kesho uhuru.......
Kufikia jumatatu kimeeleweka. Sijui viwanja/maeneo gani vinafaa, kule kwangu tandale kwa mtogole hakufai kuna matope. Leo mvua kubwa. Sijui tukaanzie kule kule kwenye maonyesho viwanja vya sabasaba??.
Leteni mapendekezo wapi safi na daaaaaah kaubaridi ka leo???? Mwenye kutumia konyagi sawa, mwenye kunywa mbege poa,
na mnywaji wa mtakatifu anna ( saint anna) sawa vilevile, haya niambieni ni wapi na utatumia nini?? Mjue mimi mwenyekiti wa kamati ya sherehe......weka mapendekezo hapa live....pm haziruhusiwi.

Happy birhday dena amsi
happy birthday da.
 
mie kwa party balaa nishajianda saa nyingi..............kutakuwa na zile chupa white na blue kama hizijui hebu mwulize AD
Ha ha ha ha umenichekesha sana, basi jikoki tu time ikifika nitaku PM nikueleze ni wapi na saa ngapi na password ya kuingilia si unajua tena bila password getini hupiti.
 
mie kwa party balaa nishajianda saa nyingi..............kutakuwa na zile chupa white na blue kama hizijui hebu mwulize AD


0041.gif
Just for you Blaki Womani.......
 
Ha ha ha ha umenichekesha sana, basi jikoki tu time ikifika nitaku PM nikueleze ni wapi na saa ngapi na password ya kuingilia si unajua tena bila password getini hupiti.

nasubiri PM unajua kesho hakuna job kujigaragaza bila kuogopa mning'inio
 
kabla sijadondosha kesha daka khaaa babu huyu kwa vimiminika( kileo)
Umenikumbusha,idara ya vinywaji wamenitumia ujumbe wakiuliza huyu babu huwa anatumia nini KONYAGI PORI AU.........
Ebu ninog'oneze AD naamini huyu babu hatasikia asije akany'aka. LAZIMA KILAMTU APATE ILE KITU ROHO INAPENDA.
 
Tall na wooooooooooooooooteeeeeeeeeeee

Nimekosa maneno kabisa hata kuandika nashindwa vile n
nilivyokuwa na furaha nasema ASANTENII SAAANAAA WOTE
SINA CHA KUSEMA NIMEBAKI NAFURAHIA TU
MBARIKIWE WOOOOOOTEEEE

NAWAPENDA NA NINAWASHUKURU SANA KWA KUNIKIA HERI YA KUZALIWA

HAPPY BIRTHDAY KABAKABANA MY DEAR
 
Happy birthday dear, May you find success in your endeavors throughout the year!
 
Back
Top Bottom