Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Happy B,day Mamii..look at this nice gift from Afrodenzi
Happy B,day Mamii..look at this nice gift from Afrodenzi
mulamukazi waihyuka bojo!
Ngoja nikuandalie valuu ya ukweli nikurushie kwa PM!
Eeeeeeeh,hii safi nadhani utafaa kuwa kwenye kamati ya mapambo ya birthday party ya mjomba wangu DA.
Eti??? haiwezekani bana,japo sijui maana ya hayo maneno lakini Bishanga ni kati ya wastaarabu wachache tulio nao. HAWEZI KUFANYA HIVYO.Hapo ndio nini Bishanga??
Unamlaani mwenzio badala ya kumrushia pongezi na zawadi!!
Umeona eeeeeeh?? IMETULIA, na kazi nimempa.... MWENYEKITI KAMATI YA MAPAMBO.Katika wote nadhani wewe umefunika na zawadi yako hiyo.
Niungae nawe kumtakia kimwana Dena Amisi happy birthday.
ni nadra sana kukuta humu jamvini vidume vinatakiana birthday njema vyenyewe kwa vyenyewe.mara nyingi ni opposiste sex ingawa watapinga kuwa umejuaje kuwa mi ni jinsia fulani.Haya wazee wa vikopa endeleeni na mambo yenu!
Eti??? haiwezekani bana,japo sijui maana ya hayo maneno lakini Bishanga ni kati ya wastaarabu wachache tulio nao. HAWEZI KUFANYA HIVYO.
inawezekana, hata mwaka ni mmoja.....sijui tuunganishe sherehe hii ya mjomba wangu na yako????jamani hapy birthday,ndo maana nakupenda kumbe tumezaliwa siku moja
Umeona eeeeeeh?? IMETULIA, na kazi nimempa.... MWENYEKITI KAMATI YA MAPAMBO.
Eeeeeeeh,hii safi nadhani utafaa kuwa kwenye kamati ya mapambo ya birthday party ya mjomba wangu DA.
Kama maisha yako Mungu amekusaidia yanaenda sawa, UTAKUMBUKA SIKU YA KUZALIWA na UTASHEHEREKEA, ndio maana tunaona sherehe za kuzaliwa za NELSON MANDELA na Hata Nyerere walisheherekea(je hao sio VIDUME??).....ila kama maisha yanaenda NDIVYO SIVYO I Mean umepigika............Lazima usikumbuke ulizaliwa lini na wala huna sababu ya kufurahi.vidume mara nyingi sio washobokeaji wa haya mabo ya birthday, mara nyingi hawana time nazo na ndio maana ni nadra sana kukuta kidume kimeandaa sherehe ya birthday tofauti na wanawake, hata katika sherehe za kawaida watu active ni wanawake katiaka kuhakikisha sherehe imefanyika na imefanikiwa. Ni nature mkuu hivyo usishangae sana.
Duuuuhhhhh asante mkuu,
Kamati ya vinywaji wakipelea mi niko hahahah lol