Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,437
- 4,828
Thanx murembo.... Wapi mumeo jamani?
Yupogo, bado yupo haha
Thanx murembo.... Wapi mumeo jamani?
Thanx murembo.... Wapi mumeo jamani?
Yupogo, bado yupo haha
Aise msalimie sana,kapotea humu
Naogopa nikilala hizi zawadi zangu wataniibia... Haswa huyu Madame B sina imani nae kabisa
Ai weweeeee.....kizuri kula na rafiki yako.
Mie nimekuwish mwanzoni kabisa kwa ID ingine.
Najua huifahamu....ila keki usininyime jamani shoga angu mie.
Happy birthday Mrs UraniMwadila
Wakati unakwenda na majira yanakwenda, wiki na siku zimeptta na sasa ni masaa amabayo tunakumbuka
siku muhimu ya mpendwa mwenzetu valentine kwa kumbukumbu ya kuzaliwa kwake leo.
Bila ajizi namtakia maisha marefu na afya njema kwa miaka mingi ijayo yaani afikishe kimo kikubwa sana
na awe juu kwa kila jambo, lolote atakalofanya baraka zishuke juu yake.
Sitamsahau mama yake kipenzi huko aliko naye apokee baraka kwa kutufyatulia katoto kachanga haaka
kavaleentine ambacho leo kanatimiza malongo kadhaa
Wapendwa wenzangu maraifiki zangu ni vyema tumtakie afya njema mpendwa mwenzetu huyu na tuwe pamoja naye leo kwa kusherekea pamoja nae sijui mama yake ametuandalia keki wapi tuje tukate keki kwa pamoja? ngoja niulize ratiba ikoje kwani yeye mwenyewe valee ni mchanga hajui ataishia kulia ngaaaaawa.
Kwa moyo wangu wa upendo nampa keki hii hapa ale kwa picha ahahahahahahahhaaaaa!
View attachment 277302
View attachment 277303
Mwee Mweeh
Happy birthday Mrs Urani
Aiseeeeee
aaaah hahahahaaaaaa kumbe unazungumzia mambo ya richard mugizi.....
Ha haa chokozi wewe
Aiseeeeee