Happy birthday Bantu Lady

Happy birthday Bantu Lady

Bestie unakosaje tena yaani bora nisiende, uende. Hii imepita na ndiyo namba moja kwa list 😘😘😘
Waaatruuuuuuu weuweeeeeeeee💃💃💃💃💃🕺🕺🕺🕺🕺🕺!!

Wapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy 🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🕺🕺😁
 
Umechelewa Tayukwa jana ndiyo nilikuwa nakula pipi kijiti. Leo nishaanza Alcohol kabisa. Kwahiyo bajeti inone 😅😅😅😅
Kwa hiyo kuna mtu kakununulia Bantu Lady pipi kijiti kimya kimya mpaka mdomo ukashindwa kushirikisha vidole kuitikia wish zetu humu hiyo jana!
Jukumu la pipi nilikabidhiwa mimi na mkuu wa kaya wa uzi huu mtoto wa kuitwa Antonnia baada ya kuona nimeshindwa kufanya ma wonder kwenye cake sasa nani kakuruhusu upokee pipi nyingine? 😔😔
 
Kwa hiyo kuna mtu kakununulia Bantu Lady pipi kijiti kimya kimya mpaka mdomo ukashindwa kushirikisha vidole kuitikia wish zetu humu hiyo jana!
Jukumu la pipi nilikabidhiwa mimi na mkuu wa kaya wa uzi huu mtoto wa kuitwa Antonnia baada ya kuona nimeshindwa kufanya ma wonder kwenye cake sasa nani kakuruhusu upokee pipi nyingine? 😔😔
Mkuu wa kayaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣!


Hakuna kilichobadilikaaa bossiii kubwaaaa Inarudiwaaa Inarudiwaaa!! Weewee treinnnaah😁😁😁😊😊!

Anything for Bantyyyyyuu reideee you know!!
 
Pipi kijiti kama pipi kijiti ausio 😁😊😊!!
Usijareee kabesaaa Anakujaaaa !!
Bantu Lady unaulizwaa hukuuu🗣️🗣️🗣️🗣️😁
Wewe sikugawi ila nitaenda Bukoba kukubadilisha na mkungu wa ndizi mzuzu🤣🤣
Kwani we pipi kijiti gani ambayo unajua utam wake na umewahi kuila ukiwa na umri gani?
 
Kwani we hutochaguliwa kwenda?
Kwani we si ndio chawa mkuu wa Bantu🤣🤣🤣🤣
Ndohuyoooo huyoooo hakuna mwingineeee 🗣️🗣️🗣️🗣️!!

Mbantu mtrotro mkareee kinoumaaa Naachaje kuwa chawa wakee kwa mfanoo weeeeeehh!!😁🤭
 
Wewe sikugawi ila nitaenda Bukoba kukubadilisha na mkungu wa ndizi mzuzu🤣🤣
Kwani we pipi kijiti gani ambayo unajua utam wake na umewahi kuila ukiwa na umri gani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,!

Mkungu wa ndizi na senenee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Kwanza Ndizi zinalainisha maungooo asavali nilainishepo lol!!😛😂!

Pipi kijiti kama pipi kijiti bana...!

Hebu kwanza .. sory umeuliza mara ya mwisho kula au???🤔🤔🤔😁😁😁

Unajua mie kilazaaa bichwa langu gumu kuelewa 😁!
 
Kwa hiyo kuna mtu kakununulia Bantu Lady pipi kijiti kimya kimya mpaka mdomo ukashindwa kushirikisha vidole kuitikia wish zetu humu hiyo jana!
Jukumu la pipi nilikabidhiwa mimi na mkuu wa kaya wa uzi huu mtoto wa kuitwa Antonnia baada ya kuona nimeshindwa kufanya ma wonder kwenye cake sasa nani kakuruhusu upokee pipi nyingine? 😔😔
😂😂😂😂😂 nimecheka hapa. Kumbe unavituko hivyo eeh Tayukwa jamani ni pipi kijiti za watoto tu. Sema leo nimeanza wine kabisa. Aliyeninunulia pipi simtaji hapa Tonnia anamjua 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️ au safari ya Zanzibar tutanyimwa? 😅😅😅😅😅
 
Kwa hiyo kuna mtu kakununulia Bantu Lady pipi kijiti kimya kimya mpaka mdomo ukashindwa kushirikisha vidole kuitikia wish zetu humu hiyo jana!
Jukumu la pipi nilikabidhiwa mimi na mkuu wa kaya wa uzi huu mtoto wa kuitwa Antonnia baada ya kuona nimeshindwa kufanya ma wonder kwenye cake sasa nani kakuruhusu upokee pipi nyingine? 😔😔
Wee Tayukwa na Bantu Lady namie mnitafutie wa kunipa pipi kijiti kwaniii msintanieeee !!
Haiwezekani mpeane pipi pekeenu rafiki yenu nimezubaa tyuu hapaaa😂😂😂😊,!
 
😂😂😂😂😂 nimecheka hapa. Kumbe unavituko hivyo eeh Tayukwa jamani ni pipi kijiti za watoto tu. Sema leo nimeanza wine kabisa. Aliyeninunulia pipi simtaji hapa Tonnia anamjua 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️ au safari ya Zanzibar tutanyimwa? 😅😅😅😅😅
Weee asitutanieeer akili ishahityuni hapaaa lol!!
Mkuu Tayukwa zenji tunaenda hata kwa ungoo wee fanya mafekecheee hukoo😁😁😂😂
 
Wee Tayukwa na Bantu Lady namie mnitafutie wa kunipa pipi kijiti kwaniii msintanieeee !!
Haiwezekani mpeane pipi pekeenu rafiki yenu nimezubaa tyuu hapaaa😂😂😂😊,!
Chizi unajua wewe mtoto 😂😂😂😂😂 huyu rafiki Tayukwa sijui jana alikuwa wapi. Leo anakuja na mambo ya pipi ya kijiti. Alikimbia jukumu la cake nini? Hatuli pipi kijiti sisi atoe mawine hapa.
 
A long time ago, in a galaxy far, far away, the best person in the world was born.

Happy birthday, Bantu Lady[emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji7][emoji7][emoji7][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Kumbe upo vizuri namna hii mkuu😂😂😂
 
Chizi unajua wewe mtoto 😂😂😂😂😂 huyu rafiki Tayukwa sijui jana alikuwa wapi. Leo anakuja na mambo ya pipi ya kijiti. Alikimbia jukumu la cake nini? Hatuli pipi kijiti sisi atoe mawine hapa.
Kasema tujiandae kwa trip zenjiiii uwepo wetruu tyuuu kila kitu kwakeeee au alikua anamtania kachanga lol😊😁😁😂!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom