Haponi mtu kwa style hii...

Haponi mtu kwa style hii...

Mzazi kazaa mtoto yupo moro sec.
Mzazi anatuma pesa ya matumizi daily. Hatari sana.. Ndio ukimvuta ndani utazaa watoto wakije wakali wenye tabia za mama yao?? Swali tu
Ukimuweka ndani unambadili tabia maisha yanasonga
 
Photoshop zinawaharibu akili. Wewe tazama hizo picha zenye majani halafu useme kuna majani gani yenye kijani hicho ndipo uangalie rangi ya huyo binti na sura yake.
 
Photoshop zinawaharibu akili. Wewe tazama hizo picha zenye majani halafu useme kuna majani gani yenye kijani hicho ndipo uangalie rangi ya huyo binti na sura yake.
Kwani hujaona video yake humu jf akibinjuka ktk hizo nyasi??
 
Photoshop zinawaharibu akili. Wewe tazama hizo picha zenye majani halafu useme kuna majani gani yenye kijani hicho ndipo uangalie rangi ya huyo binti na sura yake.
Mkuu hizo picha nimezitoa kwenye video..Ndo palivyo hapo.
 
Hao wenye hela mbona wanachapiwa??Ni mentality tu tumejiwekea ss wanaume. Hela sio kila kitu.
Endelea kuwaza hivyo hivyo Shekhe wangu kwa kuwa hulipii VAT,

Nenda kamgonge mke wa Bahkres au Mengi!!

Kama huna hela huwezi kumbadilisha mwanamke tabia,

Mke wa Mengi alikuwa celebrity kama siyo alipata mwanaume mwenye pesa asingetulia! Wabongo bhana kwa kujifariji hamjambo!

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom