Haponi mtu kwa style hii...

Haponi mtu kwa style hii...

Mi nina video yake asee, huyo mpiga picha alipata tabu sana maana alikuwa anauliza maswali ya hovyo hovyo tu.

Hapa kama una mkeo na kakufuma na haka katoto aamini nakwambia atakusamehe maana atajua ulizidiwa (simaanishi nikisemacho)
Humaanishi ila utatenda..
 
Endelea kuwaza hivyo hivyo Shekhe wangu kwa kuwa hulipii VAT,

Nenda kamgonge mke wa Bahkres au Mengi!!

Kama huna hela huwezi kumbadilisha mwanamke tabia,

Mke wa Mengi alikuwa celebrity kama siyo alipata mwanaume mwenye pesa asingetulia! Wabongo bhana kwa kujifariji hamjambo!
Katulia tuliiii. Asingempata mengi ungeona anahangaika team wema team joketi team mavi etc
 
Endelea kuwaza hivyo hivyo Shekhe wangu kwa kuwa hulipii VAT,

Nenda kamgonge mke wa Bahkres au Mengi!!

Kama huna hela huwezi kumbadilisha mwanamke tabia,

Mke wa Mengi alikuwa celebrity kama siyo alipata mwanaume mwenye pesa asingetulia! Wabongo bhana kwa kujifariji hamjambo!

Mwambie bhana,K lyn ilikuwa chakula ya Mr Blue
 
714a59c635f0b4222643ee8d8d55854b.jpg


beff02acfa043b954b11738c6be026e9.jpg


d56b9429d1904f1e82d065b0f6d99582.jpg


4e6a6d83cc3b2bade37f634762c354a7.jpg


1924fbe69301c5665a56383756c68a52.jpg


a68c765c35f6ba826d1f909b4d2e043c.jpg
Moro sec.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom