Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,943
Hahaha namba bhasiNi add basi na mimi niwe wa3
Hahaha namba bhasiNi add basi na mimi niwe wa3
Lengo la WhatsApp group na uzi ulioufungua wa kuhusu pombe ambao mpk Leo nadhani ndio unaongoza tofauti IPO wp?Kwetu sisi hakuna huo upuuzi ni biashara tu basi
Naomba unisaidie kukujibuLengo la WhatsApp group na uzi ulioufungua wa kuhusu pombe ambao mpk Leo nadhani ndio unaongoza tofauti IPO wp?
Maana mule ndani kwa mwengine anaona upuuzi ingawa kwa wengine ni burudani.
0656@44@70Hahaha namba bhasi
Haaa nishakujua ....0656@44@70
😜😜😜😜Haaa nishakujua ....
Ila mama nanii bhna muda wote kunificha id yako !! 😅😅
Tanzania tunatumia muda mwingi sana kusearch udambwi dambwi kuliko mambo ya maana yanayoweza kutupatia maendeleo na pesa.
Unakuta mtu ana mpaka groups za Clubs/ bars /ngono na yupo busy sana.
Watu hawapendi kujiunga na kujadili mambo yanayoweza kutupatia pesa , mambo yanayoweza kupunguza shida zetu.
Magroups ya harusi hovyo sana. Ujinga mtupu.
Tunamaliza MBs za bure kujadili ujinga ujinga. Eti Mabaharia !
Baba S,V na weweee😎But why
Mama vicky
Mtoto analia bhanaBaba S,V na weweee😎
Mpe nyonyo yakeMtoto analia bhana
Acha uongo... Siko kwenye kundi hiloKaribu kwenye group la usalama tuko na yeriko nyerere anatema mashudu yake ya copy na ku paste utafikiri sio written book
!!!!!! Umejuaje kama hilo😏
Unakuta mtu ana mpaka groups za Clubs/ bars /ngono na yupo
Mtu unakosa adi uhuru wa kufungia text unapokuwa public ..