Asante! Mimi nilipata baada ya kuweka lami...Hahaha
Nyang'oro
Ule ulikuwa hatari kipindi hakuna lami
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenikumbusha mbali sana
DRC? Are you sure, ni Bolivia hiyo Africa hatuna njia kama hizoDRC hiyo, maeneo ya Kamanyola kati ya Uvira na Bukavu
nawazia tu siku ya kwanza kuona dushe hali ilikuwaje... lolningegeuka tu. sababu nikiwa naogopa kitu huwa napata ashki na kutetemeka
DRC? Are you sure, ni Bolivia hiyo Africa hatuna njia kama hizo
Basi itakuwa imefanana sana na hii barabaraDRC hiyo kaka, pataitwa Kamanyola hapo
Nililia sana kwa woganawazia tu siku ya kwanza kuona dushe hali ilikuwaje... lol
Uliahirisha zoezi au ulikomaa kimachame?
DRC hiyo, maeneo ya Kamanyola kati ya Uvira na Bukavu
AaahAsante! Mimi nilipata baada ya kuweka lami...
Hey soma pm yakoAaah
Kama baada ya kuweka lami bas mbona pako furesh tuu kwa vile.
Ilikuwaga ni hatari enz hiyo hakuna lami na safari zilikuwa zina chukua time ndefu sanaa
TwendzetHey soma pm yako