Hapa nimeshakosa UDSM, naweza kupata UDOM?

Hapa nimeshakosa UDSM, naweza kupata UDOM?

genious wa kijiji

Senior Member
Joined
May 1, 2014
Posts
173
Reaction score
250
Wakuu navutiwa kusoma medicine UDSM lakini nina wasiwasi mwembamba kuwa sitapata nafasi kutokana na ufaulu wa wastani: division two ya kumi PCB.

Hivi naweza kupata UDOM kwa medicine?? maana hiyo ndiyo the only chance niliyonayo kwani vya private sina uwezo mimi ni maskini sana. Nataka nikipata boom nifanye project zangu.
Asanteni
 
Nani aliyekuletea "Revelation" kuwa UDSM umekosa?
"Hebu usijiwekee vikwazo katika Kutafuta Mafanikio"
 
wakuu navutiwa kusoma medicine udsm lakini nina wasiwasi mwembamba kuwa sitapata nafasi kutokana na ufaulu wa wastani: division two ya kumi PCB. hivi naweza kupata UDOM kwa medicine?? maana hiyo ndiyo the only chance niliyonayo kwani vya private sina uwezo mimi ni maskini sana. nataka nikipata boom nifanye projekt zangu.
asanteni
Division 2 points 10 UDSM unapata vizuri tu karibu sana mkuu the home of intelectuals mi niko hapa na two hiyo hiyo
 
kwa division 2 ya point kumi naona una chance kubwa ya kwenda, kwani mwaka huu wamepandisha sana maksi za alama tofauti na ilivyokuwa
 
Usiwe na wasi omba with confidence kwani mwaka huu wale div 4 kusoma chuo wamezuiliwa kwa muda ila kuangalia kama upepo utaendelea **** ..
 
UDSM hakuna medicine, nadhani unamaanisha Muhimbili au MUHAS, kwa division 2 ya point kumi naona una chance kubwa ya kwenda, kwani mwaka huu wamepandisha sana maksi za alama tofauti na ilivyokuwa
Ipo mkuu imeanzishwa mwaka jana wanachukua Doctor of Medicine pekeyake
 
Back
Top Bottom