navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 156
- 167
First, am dilighted to have jamiiforum kwasababu hii ni sehemu ambayo unao uwezo wa kuwakilisha mawazo yako.
Straightforward.., kama Uzi unavyojieleza...Mimi ni kijana nimamaliza masomo yangu (udsm) katika shahada ya kwanza kwenye masomo ya physics na chemistry.
Na nina ufaulu mzuri tu katika haya masomo(upper second) kwani hata o level nina division two, pia advanced level nilisoma PCB na nina merits tu nzuri.
Ajabu....nimetembeza barua ya maombi kwenye baadhi ya shule za private ila tangu mwaka Jana mpaka leo cjawahi itwa hata kwa interview.
Nashindwa elewa inamaana hakuna uhitaji wa walimu kwa haya masomo?...au yapo Ila watu wanapewa direct kwa kujuana.
Kwani kwa nondo nilizo nazo kichwani nikipata interview am sure siwezi pigwa chini labda wawe na sababu zao binafsi...
Nimefungua Uzi huu kutaka tukutane wale wote ambao tunapitia hali hii maana najua siko peke Angu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Straightforward.., kama Uzi unavyojieleza...Mimi ni kijana nimamaliza masomo yangu (udsm) katika shahada ya kwanza kwenye masomo ya physics na chemistry.
Na nina ufaulu mzuri tu katika haya masomo(upper second) kwani hata o level nina division two, pia advanced level nilisoma PCB na nina merits tu nzuri.
Ajabu....nimetembeza barua ya maombi kwenye baadhi ya shule za private ila tangu mwaka Jana mpaka leo cjawahi itwa hata kwa interview.
Nashindwa elewa inamaana hakuna uhitaji wa walimu kwa haya masomo?...au yapo Ila watu wanapewa direct kwa kujuana.
Kwani kwa nondo nilizo nazo kichwani nikipata interview am sure siwezi pigwa chini labda wawe na sababu zao binafsi...
Nimefungua Uzi huu kutaka tukutane wale wote ambao tunapitia hali hii maana najua siko peke Angu.
Sent using Jamii Forums mobile app