Hapa nani kaingia kwenye mfumo?

Hapa nani kaingia kwenye mfumo?

Mwisho wa wiki hii mitandao ilivamiwa na slogan ya NO REFORMS NO ELECTION
Hii ilikuwa kama Slogan mama! Kisha ikasindikizwa na zingine kama
#Free Lissu nk
Lakini hapo hapo sambamba na hilo ikaja pia kampeni ya ku "unfollow" mitandaoni watu maarufu ambao walionekana kutounga mkono NO REFORMS NO ELECTION.. Mwathirikab mkuu akiwa Milard Ayo
Government organs nyingi ilibidi zifunge sehemu ya comment kwa yale waliyopost kwakuwa asilimia karibia 95 ziiijaa NO REFORMS NO ELECTION! Ni almost mitandao ili parallysed na hizo slogans toka kwa wachangiaji

Ni mpaka jana mchana upande wa pili walipokuja na OCTOBA TUNATIKI.. Ambayo bado inachechemea kwakuwa ni kama imevamia gari kwa mbele ambalo liko kwenye spidi kubwa

Octobatunatiki sidhani kama itauweza moto wa NORE NOE.. Maana ni HIARI vs SHURUTI... Na hiari siku zote yashinda utumwa.. NoRe NoE watu wanajitolea lakini octobatunatiki inaandaliwa bajeti
Bila kupepesa macho unaweza kuona ni nani kajaa kwenye mfumo wa mwenzake!
No tresspassing.. Otherwise! Vitasa😂
Ulo sahihi mkuu wana jaribu kubishana na mipango ya Mungu na muda umewataa wangejua kuwa mambo yanaanzaga hivi hivi. Vijana washaitika inahitajika tu sababu ndogo au tuseme wawakanyaje watu bahati mbaya vijana wajilipue makusudi ili hili jambo liwe mtaani rasmi
 
Cheki takataka hii, mlidhani watanzania wataendelea kuwa manyumbu miaka yote!
no rifom no elekishen na hamshiriki uchaguzi hehehe kuna mda mifala na njaa vikikutana kama mazombie
 
Ulo sahihi mkuu wana jaribu kubishana na mipango ya Mungu na muda umewataa wangejua kuwa mambo yanaanzaga hivi hivi. Vijana washaitika inahitajika tu sababu ndogo au tuseme wawakanyaje watu bahati mbaya vijana wajilipue makusudi ili hili jambo liwe mtaani rasmi
 
No reform no election
-rrrx7n.jpg
 
kwan kuna nchi haidaiwi
Tunataka mabadiliko haki kwa wote

Kweli nyie mna roho mbaya sana hata kanisa hamliogopi?

Katika biblia kuna mstari unasema: Shetani alikuwa na taamaa sana. Siku akatoka Mungu akamuuliza umetoka wapi? Shetani akamjibu nimetoka duniani kutafuta marafiki. Mungu akamuuliza umepata ? Shetani akasema mbona wapo wengi.

Tabia za shetani kila mtu mwenye akili timamu anazijua.
Uwongo
Unafiki
Wizi
Uzinzi
Ulafi
Ukatili
Wivu
Kuuwa
Kusengenya n.k

CCM vipi wanayolalamikia watanzania na majirani hapo yapo.


No reforms No Election.
 
wao ndio wameingia kwenye mfumo na ndio waoiimba zaidi NO R NO E kupitia akina makalio, hata sera zao hawazikumbuki kutwa no r no e
 
Tunataka mabadiliko haki kwa wote

Kweli nyie mna roho mbaya sana hata kanisa hamliogopi?

Katika biblia kuna mstari unasema: Shetani alikuwa na taamaa sana. Siku akatoka Mungu akamuuliza umetoka wapi? Shetani akamjibu nimetoka duniani kutafuta marafiki. Mungu akamuuliza umepata ? Shetani akasema mbona wapo wengi.

Tabia za shetani kila mtu mwenye akili timamu anazijua.
Uwongo
Unafiki
Wizi
Uzinzi
Ulafi
Ukatili
Wivu
Kuuwa
Kusengenya n.k

CCM vipi wanayolalamikia watanzania na majirani hapo yapo.


No reforms No Election.
mabadiliko ya haki ndo mnayapata nje ya uchaguzi? ccm ikishinda na hankuwa nsan ya uchaguzi
 
mabadiliko ya haki ndo mnayapata nje ya uchaguzi? ccm ikishinda na hankuwa nsan ya uchaguzi
Wewe uanaona unayafanya ni sahihi. Lakini nikiangalia ni matendo ambayo yanayofana na sheria za ushetani.

Inabidi nikuache uendelee lakini sintaacha kupaaza sauti. Atatpkea jirani atanisaidia. Ndiyo upendo wangu.

Ila tukikutana sehemu ambayo tunaweza kushikishana adadu lazima tupambane.
 
Mwisho wa wiki hii mitandao ilivamiwa na slogan ya NO REFORMS NO ELECTION
Hii ilikuwa kama Slogan mama! Kisha ikasindikizwa na zingine kama
#Free Lissu nk
Lakini hapo hapo sambamba na hilo ikaja pia kampeni ya ku "unfollow" mitandaoni watu maarufu ambao walionekana kutounga mkono NO REFORMS NO ELECTION.. Mwathirikab mkuu akiwa Milard Ayo
Government organs nyingi ilibidi zifunge sehemu ya comment kwa yale waliyopost kwakuwa asilimia karibia 95 ziiijaa NO REFORMS NO ELECTION! Ni almost mitandao ili parallysed na hizo slogans toka kwa wachangiaji

Ni mpaka jana mchana upande wa pili walipokuja na OCTOBA TUNATIKI.. Ambayo bado inachechemea kwakuwa ni kama imevamia gari kwa mbele ambalo liko kwenye spidi kubwa

Octobatunatiki sidhani kama itauweza moto wa NORE NOE.. Maana ni HIARI vs SHURUTI... Na hiari siku zote yashinda utumwa.. NoRe NoE watu wanajitolea lakini octobatunatiki inaandaliwa bajeti
Bila kupepesa macho unaweza kuona ni nani kajaa kwenye mfumo wa mwenzake!
No tresspassing.. Otherwise! Vitasa😂View attachment 3360590
No reform no election
 
cha ajab mnamuongezea tu mataizo jamaa kama juzi mpaka mahakama imebidi imuonye
Unafikili yote haya usemayo yanaweza kuzuia kusudio la Mungu ,sio kaeni mkao sawa , siasa za nchi hii zimeisha badilika sana hapo ccm mnahitaji brain kweli kweli angalau kujaribu kucheza mdundo huu,
 
Ni kweli CCM imevamiwa kabisa..ukiona wasanii vijana wanaojiunga Kwa Kasi CCM wanakuja kutafuta maslai uko, na Wala siyo kuja kuisaidia CCM hakuna anayejiunga CCM Kwa manufaa ya Chama, watu kibao wanakuja km mafisi tena waogope Sana..km ukoma.
Sasa hao watu walioingia chamani ndo walioifikisha chama apa...watu wapo kimaslai tu njaa Kali.
 
Back
Top Bottom