Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,954
- 831,493
- Thread starter
- #41
uchaguzi haufanyiki jamii forums mtumishi wa mungu, wengi wa kampeni yenu sio wapiga kura na pia hamfanyi uchaguzi. siku hiyo mtalala huku CCM ikichaguliwa tena.....kiufupi lissu ameshawapoteza.....naskia ushirika wenu umeuzwa? halafu , ikiwa mmeparaganyika ivi mtawezaje kutetea haki ya kusagana na mashoga ili muharibu umma wa watizedi ? mana jambo hilo linahitaji umoja mkubwa sana.