alibaaliyo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 625
- 578
toka jamaa alisababisha familia yetu kuishi kwa hofu hatujawahi tamani kumuona tena home, na undugu wote ila tushamwambia mambo ya chama usituletee kabisaaaaaaa
toka jamaa alisababisha familia yetu kuishi kwa hofu hatujawahi tamani kumuona tena home, na undugu wote ila tushamwambia mambo ya chama usituletee kabisaaaaaaa
siasa na Mungu havikai pamoja, izo izo siasa ndo zilisababisha yuda akakubali pesa na izo izo siasa ndo zilifanya lowasa akaenda chadema, unaweza ukahisi unajielewa lakini kumbe umaskini unakusumbuaSawa ,mimi ni mtu ninaejielewa ,sijai kwenye mfumo kishabiki tu, ukweli wa Mungu ni kwamba hakuna wa kuzuia kusudio la Mungu, wewe jiulize ulipo ,umeyapitia mangapi na ukavuka wafikiri ni ujanja wako? jibu ni hapana bali ni kusudio la Mungu aliekuleta Dunia halijatimia, likitimia utashangaa kila mti unaoshika unateleza
Bora kuwa maskini kuliko kuwa mtumwa wa fikra, kama siasa na dini havikai pamoja ,mnapoteuliwa iweje kuapa kwa kumia vitabu vitakatifu, muwe mnaapa kwa kutumia ilani ya ccm.siasa na Mungu havikai pamoja, izo izo siasa ndo zilisababisha yuda akakubali pesa na izo izo siasa ndo zilifanya lowasa akaenda chadema, unaweza ukahisi unajielewa lakini kumbe umaskini unakusumbua
hakuna sehem yoyote siasa ishawahi kueleweka na ndo inavotakiwa kua ivo, unatumia nguvu nyingi sana kutaka uelewe siasa maisha hayako ivo ndo maaana watu wakiondoka chadema mnawaona wasaliti, hamjakua kiakili bado na hamjui siasa ni nn, mlipewaga ushauri mzuri sana sema kwa vile akili zenu mbovu hamkuufuataBora kuwa maskini kuliko kuwa mtumwa wa fikra, kama siasa na dini havikai pamoja ,mnapoteuliwa iweje kuapa kwa kumia vitabu vitakatifu, muwe mnaapa kwa kutumia ilani ya ccm.
Michango ya kujenga makanisa mnatoa ya nini, kwa nini wanasiasa wanasema waombewe si waende kuombewa kwenye mizimu
Acheni aya mambo
hakuna sehem yoyote siasa ishawahi kueleweka na ndo inavotakiwa kua ivo, unatumia nguvu nyingi sana kutaka uelewe siasa maisha hayako ivo ndo maaana watu wakiondoka chadema mnawaona wasaliti, hamjakua kiakili bado na hamjui siasa ni nn, mlipewaga ushauri mzuri sana sema kwa vile akili zenu mbovu hamkuufuata
View: https://www.youtube.com/watch?v=_tDosLdMiAM&pp=ygUObG93YXNhIGNoYWRlbWE%3D
nenden sasa mkavuruge uchaguzi comment hazisaidii chochoteNo reform no election apo vipi
Napendekeza mjitangaze wenyewe ili kuokoa gharama na mda , mpaka sasa uchaguzi wa kura umeisha sambaratika mkuu,nenden sasa mkavuruge uchaguzi comment hazisaidii chochote
Haya yote yalikuwemo kwenye KATIBA PENDEKEZWA kupitia umoja wenu wa kilofa wa UKAWA mkaipinga KATIBA Ile mkijua kua, kukwama kwa KATIBA PENDEKEZWA ni kubaki na KATIBA MBOVU, inayozalisha Sheria MBOVU.
Na MSOGA alikuonyeni mkampuuza.
Mlishalikoroga, linyweni hivyo hivyo hata kwa kufumba macho.
basi mtulie sasa kama uchaguzi ushaisha fanyen mambo mengineNapendekeza mjitangaze wenyewe ili kuokoa gharama na mda , mpaka sasa uchaguzi wa kura umeisha sambaratika mkuu,
Waziri mkuu awe Mbunge msukukuma
Fedha, mpeni mbunge kibajaji
Kilimo na viwanda mpeni mbunge Tale
Uvuvi na mifugo Mbunge kishimba
Madini na nishati mpeni yule Mbunge wa njombe
Mzee wa kilinge mimi naunga mkono hii, lakini hapo kwenye ELECTION ondoa weka DERBY
Sio umeisha bali hakuna uchaguzi , that's nikasema ili kuokoa mda na gharama ccm ijitangaze tu. Maisha mengine yaendeleebasi mtulie sasa kama uchaguzi ushaisha fanyen mambo mengine
tafuta elaSio umeisha bali hakuna uchaguzi , that's nikasema ili kuokoa mda na gharama ccm ijitangaze tu. Maisha mengine yaendelee
OLE WAKE MWANANCHI ATAKAYE ENDA KUPIGA KURAhio movement yenu ni ya kishamba! unasema no election na hakuna kitu unaweza kufanya kuzuia uchaguzi kama sio pombe ni nn
Hakuna Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi.No reform No election
kwamba mnataka kuzuia uchaguzi ama 🤣 🤣