NDOTO KAVU
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 1,513
- 1,120
Kwani huo uchaguzi ni kwa ajili ya akina nani? Kama ni wa wananchi wote tukae tufanyeutaratibu jinsi ya kutumia hiyo haki ya kura @ mshiriki aridhike.kwamba mnataka kuzuia uchaguzi ama 🤣 🤣
Kama mabadiliko hayatafanyika hatatakwenda kupiga kura na tutapaaza sauti dunia ijue Tanzania hakuna uchaguzi.
Kama ni uchaguzi wa chama wafanye.