stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 19,766
- 15,677
Kwahio lema akishinda ubunge arusha ndo tunahesabu haki imefanyika 🤣
Kwahio lema akishinda ubunge arusha ndo tunahesabu haki imefanyika 🤣
Huyu ni wa kuwa ignoredNimeanza kupata mashaka makubwa na uelewa wako
Wamedandia gari kwa mbele.
No REFORMS no ELECTION
N.RN.E
Jifunze lugha Acha kukariri kama yule wa on my own behalfkwamba mnataka kuzuia uchaguzi ama 🤣 🤣
uko nje ya madaJifunze lugha Acha kukariri kama yule wa on my own behalf
chama kishakufa wanachama wamekikimbia so move onNimeanza kupata mashaka makubwa na uelewa wako
Uchaguzi ni nini kwani. Maana bila ya kujua uchaguzi ni nini mjadala hauwezi kunoga!kwamba mnataka kuzuia uchaguzi ama 🤣 🤣
Yaani chama kife huku wenye chama "hai" wakisikia CHADEMA inatajwa wanapata muweweseko!?chama kishakufa wanachama wamekikimbia so move on
mkimaliza kucomment kila sehem mtuambie tukapige kura octoberUchaguzi ni nini kwani. Maana bila ya kujua uchaguzi ni nini mjadala hauwezi kunoga!
NO REFORMS NO ELECTION!
doooh na wewe move on chama kishakufa hicho, unarusha mateke ya mkata rohoYaani chama kife huku wenye chama "hai" wakisikia CHADEMA inatajwa wanapata muweweseko!?
CCM inapiga mateke ya mkata roho.
NO REFORMS NO ELECTION!
Unajibizana na mtu ambaye maneno yake yanafurahisha uso, huku imani na moyo wake unaamini kwamba atatajirika kwa kubeti. Yaani anadanganya mama anaupiga mwingi na biashara kufunguka lakini kwake yeye hajafunguliwa hata genge. Zaidi sana ameingia kwenye uwekezaji wa kumvizia muhindiTulishakipataðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜View attachment 3360116
Cheka tu maana unajua kabisa dola itawalinda lakini ujumbe uwafikie huku kitaa blaza hamkubaliki hata chembe zaidi ya machawa ambao wanahaha kuwanadi kwa kuzingatia maokoto lakini hamkubaliki miongoni mwa watu timamu khabari ndio hiyokwamba mnataka kuzuia uchaguzi ama 🤣 🤣
No reforms, No election!kwamba mnataka kuzuia uchaguzi ama 🤣 🤣
Wazee wa tiki si mpo😃😄😀😆mkimaliza kucomment kila sehem mtuambie tukapige kura october
wadhalimu weshajaa kwenye mfumoMwisho wa wiki hii mitandao ilivamiwa na slogan ya NO REFORMS NO ELECTION
Hii ilikuwa kama Slogan mama! Kisha ikasindikizwa na zingine kama
#Free Lissu nk
Lakini hapo hapo sambamba na hilo ikaja pia kampeni ya ku "unfollow" mitandaoni watu maarufu ambao walionekana kutounga mkono NO REFORMS NO ELECTION.. Mwathirikab mkuu akiwa Milard Ayo
Government organs nyingi ilibidi zifunge sehemu ya comment kwa yale waliyopost kwakuwa asilimia karibia 95 ziiijaa NO REFORMS NO ELECTION! Ni almost mitandao ili parallysed na hizo slogans toka kwa wachangiaji
Ni mpaka jana mchana upande wa pili walipokuja na OCTOBA TUNATIKI.. Ambayo bado inachechemea kwakuwa ni kama imevamia gari kwa mbele ambalo liko kwenye spidi kubwa
Octobatunatiki sidhani kama itauweza moto wa NORE NOE.. Maana ni HIARI vs SHURUTI... Na hiari siku zote yashinda utumwa.. NoRe NoE watu wanajitolea lakini octobatunatiki inaandaliwa bajeti
Bila kupepesa macho unaweza kuona ni nani kajaa kwenye mfumo wa mwenzake!
No tresspassing.. Otherwise! Vitasa😂