Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,657
- 13,484
:israel:ha ha ha ha!haya bwana mm simo kabisaaaa!mimi sielewi vizuri ila mkuu mimi sio dada
duh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
:israel:ha ha ha ha!haya bwana mm simo kabisaaaa!mimi sielewi vizuri ila mkuu mimi sio dada
duh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
anaangalia namna ya kuboresha maisha ya wadanganyika, na huko ndiko alikopatia kura nyingi sana.
Hapo panaitwa kidongo chekundu hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:A S cry::A S cry::A S cry::A S cry:
Nani kasema kuna mtu anapenda mambo yake yasikae wima,mzee anarekebisha mambo:bange::bange::bange:
Arudishe nguvu ili iweje? Jk hagombei tena. Sasa hivi anatekeleza zile ahadi kama basi anazikumbuka.Alienda kwa babu kupata dawa ya kurudisha ushawishi na nguvu yake ya kisiasa
manafiki mkubwa huyu mtu wa watu anaweza kuwa huyu??ana toho mbaya kama nini muoneni hivo hivo anachekacheka....
uwa anafika huko?
mbona kwa babu haendi au kwa sababu za kidini?