mimi sielewi vizuri ila mkuu mimi sio dada
duh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hahahahaha! Jaman Jk mtu wa watu, hapo katoka kuwasalimia wapga kura wake!
Anafikiri katoka kwa mganga wa kienyeji
mimi sielewi vizuri ila mkuu mimi sio dada
duh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tehe tehe tehe! Avatar zinawachanganya eeh???toa sasa liavata lako hilo kama sio kiburudisho
toa sasa liavata lako hilo kama sio kiburudisho
Lifeofmshaba=VIKWAZO???sasa kwa nini nitoe?
kila ufisadi unapotokea waoteseka zaidi ni wanawake na watoto?
hapa mpaka kieleweke hakuna tena kina mama kulia kwa kupoteza watoto wao kwa kukosa tiba
kauli yako imenitibua sema ni hekima tu inanizuhia
MR nani amekunanhii mpaka umepata mtoto? Nway, naona wote mmefurahi. Hongera;-)Msanii tu huyu lol