Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
hapo ameshakumbuka na kuzitubu dhambi zake zote within seconds
namjibu: Go to hell!! afu naendelea kusoma zangu kitabu..Ukimpa hi anajibu hi halafu anakwambia can i kukula you sijui utajibu nini
Chezea wazungu weye! ukute huyo simba kamfuga anatalii nae.Hakuna madhara hapo!
Chezea wazungu weye! ukute huyo simba kamfuga anatalii nae.Hakuna madhara hapo!
Uuwiiii...hahaaaaaaaaaaaa..Nimecheka kwenye daladala kama chizi vileKama ni mimi nitajifanya mnyonge mpaka adhanie ni mzoga,halafu wakati anajiuli natoka nduki kwenye mti halafu ndo najikagua kama nimejinyea au la.na ka ma nimejinyea ndo naanza kujicheka.
Chezea wazungu weye! ukute huyo simba kamfuga anatalii nae.Hakuna madhara hapo!
sio kujisaidia ni kusaidiwa kujisaidia.