Hapa Kazi Tu

Hapa Kazi Tu

Kiukweli hayati Magufuli tutamkumbuka milele

1. SGR

2. Bwawa la Nyerere

3. Treni ya Moshi

4. Meli

5. Ndege

6. Barabara

7. Wabunge wa Chadema waliounga juhudi

8. Uwanja wa ndege Chato

9. Uwanja wa ndege Nduli Iringa

10. Soko la Ndugai

11. Stendi ya Magufuli mbezi

12. Nk....nk

RIP JPM
Usisahau ujio wa Twiga Corporation kwa serikali kuwa mwanahisa kwa 16% na kuwa sehemu ya bodi.
Usiwasahau wakazi wa magomeni kota kurejeshwa kwenye nyumba za hadhi.

Usisahau kudhibiti mauaji ya ndovu.

Usisahau uamuzi wa kuijenda dodoma na mji wa serikali kwa kampuni za ndani. Kuna nyakati hata ghorofa ndogo lazima mchina apewe.
Mzee aliamua ikulu ijengwe na mikono wa Watanzania. Huu ulikuwa uamuzi wa kiume na wa kiouongozi.

Usisahau aumuzi wa kufunga shule kwa muda wakati wa Covid then shule na vyuo kufunguliwa pasi wanafunzi kupoteza mwaka. Kenya, Uganda, Rwanda mfumo wa masomo umepoteza miaka 2;

Mzee yule kama mwanadamu alikuwa na liabilities zake, ila kwa wingi wa assets zake, tu-celebrate urithi aliotuachia.
 
Watu WA namna Yako wanachukiwa sana ila we ngojea time will tell
 
Kiukweli hayati Magufuli tutamkumbuka milele

1. SGR

2. Bwawa la Nyerere

3. Treni ya Moshi

4. Meli

5. Ndege

6. Barabara

7. Wabunge wa Chadema waliounga juhudi

8. Uwanja wa ndege Chato

9. Uwanja wa ndege Nduli Iringa

10. Soko la Ndugai

11. Stendi ya Magufuli mbezi

12. Nk....nk

RIP JPM
Kwa mtu aliyezaliwa 80s ni sawa lkn kwa wahenga hajagusa hata robo ya Nyerere
 
Kuna stendi mpya mikoa mingi na masoko mapya,
  • Airport ya msalato , Dom
  • Airport ya Songea,
  • Uboreshwaji wa uwezo wa kitaaluma na kiteknolojia kwa hudduma za afya nchini kuanzia na MNH na Benjamin Mkapa , Dom n.k
  • Kufuta ada za shule za sekondari na kuboresha mfumo wa mikopo elimu ya juu.
 
Hii ndio shida ya kuamkia kiporo cha makande, utakuwa umevimbiwa wewe kapate double kick ukae sawa.
Mauaji ya wapinzan?
Kubambikizia watu kesi.
Kupandisha makato ya bodi ya mikopo
Kupora korosho za wakulima.
Kununua minfege bila kufuata sheria ya manunuzi?
Kuingilia mifuko ya hifadhi ya jamii
 
Mwendokasi Kariakoo to Mbagala

Mfugale Flyover

Kijazi Interchange

Hospitali ya Uhuru - Dodoma

Hospitali ya Kumbukumbu ya Mwl. JKN - Mara

Hospitali ya Kanda ya Kusini - Mtwara

Machinjio ya Vingunguti - Dar

Kota za Magereza Ukonga - Dar

Soko la Magomeni - Dar

Magorofa ya Magomeni Kota - Dar

Soko la Chief Kingalu - Morogolo
Pamoja na madhaifu yake ya kibinadamu, ambayo sisi sote tunayo, Magufuli alikuwa level nyingine kabisa ktk jitihada za kulitetea taifa letu na kulitumikia ili kupata maendeleo.
RIP JPM.
 
Kufufua MSCL

Kuanzisha TASAC & LATRA

Kufufua TTCL

Kufuatilia hisa za serikali Airtel

Usimikaji wa rada

Kufufua ATCL

Kubadilisha mikataba ya madini

Upanuzi wa barabara ya Morocco Mwenge & Kimara Kibaha

Stendi ya Nyegezi & Nyamuhongolo - Mwanza

Uanzishaji wa mbuga ya Chato Burigi

Hakukuwa na ujangili

Ujenzi wa gati na panuzi wa bandari katika bandari za Dar, Tanga, Mtwara, Mafia, na nk

Ujenzi wa meli

Daraja jipya la mto wami
6years v/s 1year
 
Back
Top Bottom