Hapa Kazi Tu

Hapa Kazi Tu

[emoji1241]
Screenshot_20220317-072608.jpg
 
Hivi kigogo aliendaga kunya pale kaburini kama alivyosema lazma akajisaidie hapo?
 
Kiukweli hayati Magufuli tutamkumbuka milele

1. SGR

2. Bwawa la Nyerere

3. Treni ya Moshi

4. Meli

5. Ndege

6. Barabara

7. Wabunge wa Chadema waliounga juhudi

8. Uwanja wa ndege Chato

9. Uwanja wa ndege Nduli Iringa

10. Soko la Ndugai

11. Stendi ya Magufuli mbezi

12. Nk....nk

RIP JPM
Atakumbukwa kwa maendeleo aliyoyaleta kwa kipindi kifupi akiwa madarakani
 
Kufufua MSCL

Kuanzisha TASAC & LATRA

Kufufua TTCL

Kufuatilia hisa za serikali Airtel

Usimikaji wa rada

Kufufua ATCL

Kubadilisha mikataba ya madini

Upanuzi wa barabara ya Morocco Mwenge & Kimara Kibaha

Stendi ya Nyegezi & Nyamuhongolo - Mwanza

Uanzishaji wa mbuga ya Chato Burigi

Hakukuwa na ujangili

Ujenzi wa gati na panuzi wa bandari katika bandari za Dar, Tanga, Mtwara, Mafia, na nk

Ujenzi wa meli

Daraja jipya la mto wami
Kurudisha nidhamu katika utumishi wa umma

Kupinga ufisadi

Vita madawa ya kulevya

Umeme ulikuwa stable

Kurudisha heshima na hadhi ya Tanzania

N.k n.k n.k
 
Back
Top Bottom