Sehemu kama vijibweni ni eneo bora sana, tatizo halikupimwa watu wamejikatia viwanja ovyo ovyo imekuwa uswazi.
Wapemba wengi naona ndio wamekimbilia huko.
Vijibweni iko vizuri kwa mazingira yakeMkuu sisi huku tunataka kuhamishwa na taifa gase ila nmependa sana mazingira ya vijibweni huku kidongoni
Yaani anataka kuaminisha watu waishi maisha ya kukosa pesa kisa watakufa mapema! Hizi ni kauli za kimasikini na kukatishana tamaa.Imani za kijinga,yaani Mungu akunyime ukwasi kwa vile utajiua?sasa kwanini asizuie hicho kifo,na akupe mihera kibao,
Utakiwi kushukuru kama hujatafuta
Na hapo inatakiwa kila mwezi awe anapigwa Dushe na BeberuMkuu kuna sehem tanga nilisimuliwa na jamaa ambae ni jamaa ake kuwa alipata utajiri kwa kupigwa dushe na beberu
Daahh..Kama nakuona vile mapigo Haile Selassie fulani hivi, mpaka bustani zinahudumiwa na wafungwa!
Kuna mshkaji fulani kwao ilikuwa hivyo, yule mfungwa alikuwa anakula good time pale nafikiri alikuwa anaomba asihamishwe.
Duuh Kweli kabisa
Tulikuwa tunakaa Haile Sellasie road kabla ya IST, miaka 30 iliyopita , kulikuwa Oysterbay kweli
Nilivyopita 2018, mtaa mzima umejaa vigrocery na vipub kama uswahilini, halafu barabara zimechoka kinoma,
👍Mitaa yangu ya kujidai hiyo.
Mazima mkuu, Bongo nitakuja kutembea tu.
Sababu zilizonifanya niondoke hazijabadilika na wala sitegemei zibadilike katika muda wa maisha yangu uliobakia.
Hizo za kutoa taka mbona hata sinza kwa wajanja zipo? Kila ijumaa wanazoa takaHivi tunafananisha maisha ya Oysterbay na Ulaya.
Dar kuna huduma za umma za kuzoa taka?
Bongo kama Ulaya maninx, unapush G wagen mbichi parking lot imejaa vyuma vya adabu! Kwa kweli bongo nyosoNi zaidi ya Ulaya ukiwa na pesa
Watu wa manispaa au private business?Hizo za kutoa taka mbona hata sinza kwa wajanja zipo? Kila ijumaa wanazoa taka