Unabisha nini sasa??!!ile na kofii kaandika mwenyewe hii nimekuzoea mwenyewe kamuulize mbona huwa hafichi coz waandishi wanauza siku hiziNandy hana uwezo wa kuandika nyimbo zake. Zote anaandikiwa.
Unabisha nini sasa??!!ile na kofii kaandika mwenyewe hii nimekuzoea mwenyewe kamuulize mbona huwa hafichi coz waandishi wanauza siku hiziNandy hana uwezo wa kuandika nyimbo zake. Zote anaandikiwa.
Unatia aibu kwa kutokujua na kuongea usichokijua kwa alikiba yupo simpo ingawa anamjengo wake but nandy anahela sema hajitangazi kama hao wauswahilini nakupa hiloNandi na Ali Kiba wana pesa ya kula tu, acha uongo.
Nandy hawezi kuandika nyimbo.Unabisha nini sasa??!!ile na kofii kaandika mwenyewe hii nimekuzoea mwenyewe kamuulize mbona huwa hafichi coz waandishi wanauza siku hizi
Penye nia pana njia, walikaa hiyo miaka na matokeo wakatoka wameiva kisawasawa.miaka 4 unasubiri nini kumsaimisha mtu!!!!
kufubaza morali za watu tu.
Acha uongo, Ali ni mtu wa kutamba mno ila realities on the ground zinamfanya ashindwe mambo mengine.Unatia aibu kwa kutokujua na kuongea usichokijua kwa alikiba yupo simpo ingawa anamjengo wake but nandy anahela sema hajitangazi kama hao wauswahilini nakupa hilo
Basi tulia coz hujui chochote kwa nandyAcha uongo, Ali ni mtu wa kutamba mno ila realities on the ground zinamfanya ashindwe mambo mengine.
Na Nandi, inaonekana mnawajua kupitia story za vijiweni.
Wana pesa za kubadilisha mboga tu, mngejua real life yao mngeona hata aibu kuwapa sifa wasizostahili.
Wewe ni kama Nani kwa nandyBasi tulia coz hujui chochote kwa nandy