Haniridhishi jamani

haya ndugu zangu nimerudi tena kutokana na ukimya niliokua uliokuwepo, tumerudia sex mara 4 kwa siku tofauti hali ni hiyo hiyo nimejaribu kuongea nae kirafiki tu amesema anamapungufu hayo na hali hiyo imemjengea hofu kuwa na mahusiano kwani kiwa anaekua nae anamkimbia ameniomba nimsaidie jaman nisaidien tena atumie dawa gani?

Ni Pm Tuongee Ishu Ya Maana!!
Kwani Mungu Ana Makusudio Mema Nawe!!
 
Hahahaaaaaa! Punguza woga! I naonekana mtoto MTAMU SANA WEWE!!!!! Hiyo ni sababu KIPYA HAKINYEMI!!!! Akikuzoea itaishaaaa yenyewe!!!! Ingekuwa umemkuta ANAKIBAMIA KIDOGO hapo kweli, manake nothing could be repaired!!!!!!! LOL!

Huo ni usongo tu alikokuwa nao ndo uilomponza.

Kabamia kidogo au k kubwa? Wanawake bwan kwa kutuonea loh.
 
Hizo nne zinatosha, unataka nyingi za nini. Kwani hamna kazi nyingine za kufanya. Mapenzi siyo kufanya tu ila inaambatana na mambo mengine mazuri ambayo wote mnafurahia achana na mabao bana..
 
Unajua sijawahi kuona waumeni tukilalamika sana kuhusu size za wanawake tunaokutana nao, au wanaturidhisha oh lah. Laknj wanawake? Salia mtumee kila kukicha visaa, mara mwanaume huyu vile mara hivi. Tukiwa na mutombo dick ni matatizo.

Nyinyi wanwake mnataka nini hasa?
 
Si Nimekuita Huku Inbox,Nikupe Ujanja Wa Maana?
Haumaanishi Unachokitaka Ww!

Niambie Basi Ili Ni Sign Out,Maana Napoteza Mda Wangu Kungoja PM yako!
 
...........tumerudia sex mara 4 kwa siku tofauti hali ni hiyo hiyo..........
..........ameniomba nimsaidie.........

Dogo umezidi na wewe kuwa mtam!

Punguza hayo masukari binti utamuua mwenzio, vp anapiga mitungi?? Hebu mwambie ale vizuri ashibe alafu achape valuu, mpumzike kidogo then mpe mambo uone kama hujakimbia mwenyewe.

Pia elewa jamaa anapokua na wewe anakua katika ''stress free zone'' hivyo concetration yake yote inakua kwenye kitumbua chako, unaweza mshauri pale wadudu wanapotaka kuanza safari ahamishe mawazo na kufikiria ''wadeni wake'' au matatizo ya maisha uone kama ataendelea,

ikishindikana, tafuta siku moja nzima mjifungie toka asubuhi hapo iwe ni kula, kuDuu na kulala mpaka usongo wake uishe, mkalie koo siku hiyo mpaka atoe upepo, then omba mechi tena siku ya pili kama mara tatu hivi,

akiendelea basi niPM uje nikuonjeshe shughuli alafu ukamfundishe sawa eeeee....!?

Karibu tena.
 
nilikua simbanii kwanza nimemuachia dudu yote nikategemea nimekutana na mtu mchapa kazi anaejua nini anafanya, bado nikafikiri ni mwanzo tu baadae atakaa sawa badae akaanza kunishika kwa mbwembwe ni kajua mwanajeshi kaingia vitani ikawa yale yale alafu ananiuliza umemaliza swty kidogo ni mtemee mate

da!? We mwanamke mpana sana wewe!
 
Hii inatokana na kuwa ni mara ya kwanza kwake akizoea basi hilo tatizo litakwisha. na kama ulivosema ni mtu wa kanisani pia hofu ya mungu kufanya mapenzi nje ya ndoa, kutokujiamini na mfadhaiko. Ni muhimu kutafuta ushauri kwa wataalamu wa masuala ya ndoa pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom