Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
haya ndugu zangu nimerudi tena kutokana na ukimya niliokua uliokuwepo, tumerudia sex mara 4 kwa siku tofauti hali ni hiyo hiyo nimejaribu kuongea nae kirafiki tu amesema anamapungufu hayo na hali hiyo imemjengea hofu kuwa na mahusiano kwani kiwa anaekua nae anamkimbia ameniomba nimsaidie jaman nisaidien tena atumie dawa gani?
Ni Pm Tuongee Ishu Ya Maana!!
Kwani Mungu Ana Makusudio Mema Nawe!!