lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
Hiyo ni cha mtoto, KIBOKO Y MAMBO ni KAMIKAZE... Una MIX John Walker Red label, Vodka Sminoff, Gordons Gin, Bacard na Tequiler. You just mix one tort each halafu unaweka barafu kisha una top up na coca cola....
Hapo ukiingia kwenye game, tafrani mtindo mmoja.......................
Hahahahaaaaa! Mtambuzi UMETISHAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!! Aisee kumbe vituzz za COCTAIL zinaendelea!!! Ni nomaaaa! Hiyo concentratio si maini yanafuka moshi!!!!!!!!!! Aisee umenikumbusha mbali sana enzi zetu za nani mkali? Vituz zinmwagwa kwenye bakuli changanya changanya afu mnajidungaaa! HAKUNA NYOTA UNAACHA KUIONA!!!! Aiseee ndo maana wanafunzi wa dsm wanafeli sana. Hiyo kitu wanatengeneza bar gani niizukie siku nikazimue mizimu? LOLEST!