Heshima yenu wakuu!!nina galfrd wangu hana imani na mimi kabisa,sababu kuu ni tangu alipokutaga txt kwa 4n yangu nime2miwa na mmanzi mwingne...nifanyaje ili kurudsha imani kwake ukizingatia 2naishi mikoa tofauti?
<br /><span style="font-family: comic sans ms">Senetor pole kwa kugonganisha magari hawa viumbe imani ikiwatoka inawatoka kweli kweli... Unapaswa kutueleza pia una mpango gani na huyo manzi mwingine ili tusijepoteza mda wa kukushauri kumbe mwenzetu sikio la kudedi.</span>
Heshima yenu wakuu!!nina galfrd wangu hana imani na mimi kabisa,sababu kuu ni tangu alipokutaga txt kwa 4n yangu nime2miwa na mmanzi mwingne...nifanyaje ili kurudsha imani kwake ukizingatia 2naishi mikoa tofauti?
<br />dawa ya moto ni moto,...simple_usiwe na imani naye......ful stop
Senetor,Mbona hujaamua yupi unamtaka kati ya hao? sababu hata akirudisha imani na wewe bado unapenda totoz haitokusaidia,na mie siamini kama wanaume wanalia kweli wakati wakubembeleza,manake hawa viumbe wana roho ngumu jamani mpaka nashanga, sie wanawake aaaaah,kulia na kukiri ndio majaaliwa yetu.Heshima yenu wakuu!!nina galfrd wangu hana imani na mimi kabisa,sababu kuu ni tangu alipokutaga txt kwa 4n yangu nime2miwa na mmanzi mwingne...nifanyaje ili kurudsha imani kwake ukizingatia 2naishi mikoa tofauti?