beatrixmgittu
Senior Member
- Dec 21, 2010
- 113
- 7
Ni matumain yangu mt wazima wa afya njema.Dhumuni la ujumbe huu ni kutaka kuwajulisha na mie huyu nimejiunga kikosini toka fasi za magharibi ya tz. Napenda kuwasalim wana jf popote mlipo. Wasalaam b.m a.k.a butombitombi.