Hamyambo bayamaa.

Ni matumain yangu mt wazima wa afya njema.Dhumuni la ujumbe huu ni kutaka kuwajulisha na mie huyu nimejiunga kikosini toka fasi za magharibi ya tz. Napenda kuwasalim wana jf popote mlipo. Wasalaam b.m a.k.a butombitombi.

1. Uwe makini na chochote unacho kisoma.
2. Uwe makini na chochote unacho kiandika.
3. Ukiona kitu usikitazame kama hakikusaidii.
4. Heshimu mawazo ya wenzako hata kama wanapinga wazo lako ambalo kwako ni sahihi.
5. Tumia lugha nzuri na yenye busara.
6. Wapongeze wanaotoa mawazo mazuri na toa mawazo yako kwa uhuru wote.
7. Linda nafsi yako kuliko yote uyalindayo.
 
1. Uwe makini na chochote unacho kisoma.
2. Uwe makini na chochote unacho kiandika.
3. Ukiona kitu usikitazame kama hakikusaidii.
4. Heshimu mawazo ya wenzako hata kama wanapinga wazo lako ambalo kwako ni sahihi.
5. Tumia lugha nzuri na yenye busara.
6. Wapongeze wanaotoa mawazo mazuri na toa mawazo yako kwa uhuru wote.
7. Linda nafsi yako kuliko yote uyalindayo.
ufafanuzi hiyo ya 7.
 
Back
Top Bottom