Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,849
- 37,556
Ulishindwa kabisa kuleta uchokozi?😕
Hahahaa haaaa
cc mentor
Ulishindwa kabisa kuleta uchokozi?😕
We ni Joka la Maonesho/kibisa. Nishajiridhisha pasipo shaka yoyote.
Huyo dada anawe mikono tu.! Juhudi zote kukuvizia na kukuleta kwake msobe msobe, kukulaghai usiondoke, kukutega, Bado BILA BILA!!!!!!!!! Kiruuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!! Mburaaaaaaaaaaa!
huyu jamaa ni noma sanaaaa
kuna mshikaji alilalamika kudhurumiwa na rafikiye
TYTA akapost picha
ikawa kama tukio halisi vile!!!
si vibaya kulala nae bila kumgusa kwanza ni kuonyesha jins gan unashinda tamaa za mwili
ilaaaaaaaaaaaaa.......:
sidhan kama utakarbishwa tena kwake ukaangalie shideo mpka saa mbil usiku
Dudu yako imekolifai kuwa moja kati ya dudu pole duniani...
Hongera sana!!!
eti "cha ajabu kipi"
Umeona eeee, Sihangaiki na vijana wasiojitambua na hajui wanataka nini. eti akaniwashia kideo tangu sasa 10adi02ucku, Mimi ningekutimua hata kama ni saa ngapi, uombe kunisindikiza nikubali iwe shida tena aaaa wapi, sikusindikizi na kwangu haulali,. nishakutana na vijana wengi sana type yako niliwashikisha adabuwe kweli KINYARU
cha ajabu hapo si hakuweweseka alilala kama amekufa, kwa sisi wenye ndoto zinazotokana na kile ulicho kiona mchana au kabla ya kulala, kwa kweli angenifukuza saa nane usiku , lazima kidali!!!! po, kidali!!!po, kingeanzacha ajabu kipi hapo?
Umeona eeee, Sihangaiki na vijana wasiojitambua na hajui wanataka nini. eti akaniwashia kideo tangu sasa 10adi02ucku, Mimi ningekutimua hata kama ni saa ngapi, uombe kunisindikiza nikubali iwe shida tena aaaa wapi, sikusindikizi na kwangu haulali,. nishakutana na vijana wengi sana type yako niliwashikisha adabu
kwani nilazima mfanye istoshe amna alie na hisia na mwenzie
Kaka kabla hamjaenda kulala ULIPIGA VIROBA vya kutosha so ulipojitupa tu kitandani ukaanza kukoroma?
man thats normal kwa mtu anaejiheshimu! binafsi nshafanya hivyo mara kadhaa.
No its Not Normal!
Kidume huwezi lala na demu ndani usiku kucha bila chochote kutokea unlesss.......
Aisee au bi dada alikuwa msimbazi?