- Thread starter
- #181
Hujakamilika wewe!!
kumbe kumuacha nimefanya makosa eeeh ngoja nitamrudia
Hujakamilika wewe!!
Sina mazoea nae lakini kilicho tokea mpaka leo siamini,ni mdada mtu mzima tukiwa na mazoea ya stori za apa na pale siku moja ilitokea akiwa anarudi kazini nikamwomba nimsindikize hadi kwake bila hiyana tukafika ndani mtoto akaniwashia kideo tangu sasa 10adi02ucku nikiangalia mda umesha tembea kwangu ni mbali kidogo nakwake unajua nini kilitokea
nikamwomba anisindikize ikuwezekana basi tukakubalia kulala pamoja kitandani lakini kwa sharti pasiwe na usumbufu nikakubali mtu mzima da amuwezi amini wa dau mpaka kulikucha.
Je ninani anaweza ivyo jamani?
angalizo mm ni mwanaume nilie kamilika kila idara binafsi nimeshindwa kuamini kilicho tokea
0657760678 izo apo
man thats normal kwa mtu anaejiheshimu! binafsi nshafanya hivyo mara kadhaa.
Hivi ujinga siku hizi ndio kujiheshimu.
Mbona anapokea mwanaume? Umenikata stimu zote kijana. Ndani ya akili yangu nlishaanza kufikiria huyu dada ntamuanza kwa kumuweka mkao gani alafu njemba linapokea.
Alaaaa kumbe siku hizi kujiheshimu ndo ujinga ee?
Alaaaa kumbe siku hizi kujiheshimu ndo ujinga ee?