Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,271
- 108,268
Battery low,.....weka kwa stima.
Hahaha hii kiswahili imenikumbusha pande za Nairoberry...
Battery low,.....weka kwa stima.
Hili kwa uhakika si suala la uaminifu kabisa kwa sababu kama mngekuwa wema sana ungeenda kwenu!! Eti tabia nzuri, tabia ya kulala kwa mwanamke asiye mkeo tena one bed? Yani hapo dhambi ya uasherati ulishaipata muda ule mlipokubaliana kulala pamoja bila aibu.
Kuhusu suala la kutomgusa hayo ni matatizo ya kukamata channel na sio abstinence
Huyu ni nyuki wa mashineni na tena ni kuku wa kuchora na mbaya zaidi amekuwa joka la kibisa
Kwani mi nlikataa kwamba ni dhambi?Unavyomnanga khaaa....utadhani nawe umesahau kile kisa chako!!!
Hahaha hii kiswahili imenikumbusha pande za Nairoberry...
Sina mazoea nae lakini kilicho tokea mpaka leo siamini,ni mdada mtu mzima tukiwa na mazoea ya stori za apa na pale siku moja ilitokea akiwa anarudi kazini nikamwomba nimsindikize hadi kwake bila hiyana tukafika ndani mtoto akaniwashia kideo tangu sasa 10adi02ucku nikiangalia mda umesha tembea kwangu ni mbali kidogo nakwake unajua nini kilitokea
nikamwomba anisindikize ikuwezekana basi tukakubalia kulala pamoja kitandani lakini kwa sharti pasiwe na usumbufu nikakubali mtu mzima da amuwezi amini wa dau mpaka kulikucha.
Je ninani anaweza ivyo jamani?
angalizo mm ni mwanaume nilie kamilika kila idara binafsi nimeshindwa kuamini kilicho tokea
Naam hapo umefika palengwa. Karibu Nairobi