daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 873
niite basi na mimi Lara 1. hata mimi ni wa maonyesho ila tofauti yangu ni kuwa nikiamka naosha vyombo,kudeki na kufua halafu naacha hela kuanzia kitafunwa mpaka hela ya Bibi yako Marangu!We ni Joka la Maonesho/kibisa. Nishajiridhisha pasipo shaka yoyote.
Huyo dada anawe mikono tu.! Juhudi zote kukuvizia na kukuleta kwake msobe msobe, kukulaghai usiondoke, kukutega, Bado BILA BILA!!!!!!!!! Kiruuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!! Mburaaaaaaaaaaa!