Hamuwezi kuamini jamani...

Hamuwezi kuamini jamani...

usimlaumu bidada Karucee kama alimkarbisha kwake hadi kitandani, angefanyanin tena? Mi mbona spati hayo maajabuu? Agrrrr
 
Last edited by a moderator:
Mimi sioni ajabu mapenzi ni hisia kama hauna hisia na mtu hata ungemkuta mtupu hata hamu haiji! Isitoshe kama una hofu au mashaka na dem pengine hajatulia inawezekana kabisa dudu lisisimame hata kidogo

nakubaliana nawe mkuu
 
sasa sawa ka vibrate we ungeanza na style gani kumshawishi?

kumbeeh..shida hapa nikufundishwa jinsi ya kushawishi..teh teh teh alaf inavooneka ulikua unataka lakini ukashndwa pakuanzia...lol
 
Wanaume jamani?!....Huna mazoea naye...dada mtu mzima....sasa ulitaka umfanye nini? Na kilichokukalisha mpaka giza usiyeaga ukaenda zako ni nini? Kideo? Haya ungetoka kidedea na kugundua kumbe alishafiliwa na mumewe kwa maradhi yasio tiba ungekuja na hii sintoamini yako?

Siku zote matatizo mnayaita wenyewe.....
 
Hili kwa uhakika si suala la uaminifu kabisa kwa sababu kama mngekuwa wema sana ungeenda kwenu!! Eti tabia nzuri, tabia ya kulala kwa mwanamke asiye mkeo tena one bed? Yani hapo dhambi ya uasherati ulishaipata muda ule mlipokubaliana kulala pamoja bila aibu.

Kuhusu suala la kutomgusa hayo ni matatizo ya kukamata channel na sio abstinence
 
We ni Joka la Maonesho/kibisa. Nishajiridhisha pasipo shaka yoyote.

Huyo dada anawe mikono tu.! Juhudi zote kukuvizia na kukuleta kwake msobe msobe, kukulaghai usiondoke, kukutega, Bado BILA BILA!!!!!!!!! Kiruuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!! Mburaaaaaaaaaaa!

Huyu ni nyuki wa mashineni na tena ni kuku wa kuchora na mbaya zaidi amekuwa joka la kibisa

 
kawida mm nishafanya twice na nipofiti mpaka huwa wanaomba po!!!!!!!!
 
Hili kwa uhakika si suala la uaminifu kabisa kwa sababu kama mngekuwa wema sana ungeenda kwenu!! Eti tabia nzuri, tabia ya kulala kwa mwanamke asiye mkeo tena one bed? Yani hapo dhambi ya uasherati ulishaipata muda ule mlipokubaliana kulala pamoja bila aibu.

Kuhusu suala la kutomgusa hayo ni matatizo ya kukamata channel na sio abstinence

sikweli anacho dai ana mtu wake tena aliniambia ni bahati mbaya tu ilitokea na mashine iko full net
 
Naona lengo lako halikutimia, baada ya kuambiwa usimsumbue bidada wa watu. Ama ghetto ulikuwa huna cha kupika ukaona ukomae kukodolea jicho kideo hadi usiku, ili msosi uive? Gia nyingine bhana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom