Marlex Jr El
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 1,819
- 2,413
Aaaaaah ahhhh haha UN ya kisarawe labda.
Safi sana Watanzania tunatembea kifua mbele.
Sasa ukitembea kifua mbele ustaarabu wa nyuma unamuachia nani au biashara matangazo
Heshima mbele, nimepata tetezi kuwa wasanii hawa nguli Barani Afrika wamealikwa kutumbuiza katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko New York, Marekani. Kama ni kweli nawapongeza mno vijana hawa kwa mafanikio makubwa waliyofikia kwa kutambulika kimataifa. Tanzania tunapaa kimataifa huku timu ya Taifa imetwaa kombe la CECAFA huku Olimpiki tumeng'ara sasa ni zamu ya Muziki wetu kupaa kimataifa.