Tetesi: Hamonaizi & Shishi Beibi kutumbuiza Umoja wa Mataifa?

SHIKA ADABU YAKO (in Wa mitego voice)... Hakiwezi kutokea kitu kama hicho... kati ya hao ulio wataja hakuna ambaye amefikia level za kutumbuiza huko...
 
Heshima mbele, nimepata tetezi kuwa wasanii hawa nguli Barani Afrika wamealikwa kutumbuiza katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko New York, Marekani. Kama ni kweli nawapongeza mno vijana hawa kwa mafanikio makubwa waliyofikia kwa kutambulika kimataifa. Tanzania tunapaa kimataifa huku timu ya Taifa imetwaa kombe la CECAFA huku Olimpiki tumeng'ara sasa ni zamu ya Muziki wetu kupaa kimataifa.

Kweli hao umoja wa mataifa wamekosa wanamziki mpaka wanawapa vichaa
 
Hao marais Wa Africa tu hutuba zao huhutubia viti alafu ndio uje Na ndoto zako za alinacha hapa. Ukiwa unaota yaribu kuota ndoto zenye ukweli
 
its your boy shishi bebi ndan ya neu yokiiii acha kabisa ha ha ha ha
 
My boy Shishi Baby lazima akawaonyeshe shanga za kiafrika. Nina wasiwasi hawezi kurudi Bongo tena, maana madingi wa UN wakiona mauno lazima wachukue ngoma jumla. Hiyo ndio dreams come true, bye bye Shilole.
 
Back
Top Bottom