Heshima mbele, nimepata tetezi kuwa wasanii hawa nguli Barani Afrika wamealikwa kutumbuiza katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko New York, Marekani.
Kama ni kweli nawapongeza mno vijana hawa kwa mafanikio makubwa waliyofikia kwa kutambulika kimataifa. Tanzania tunapaa kimataifa huku timu ya Taifa imetwaa kombe la CECAFA huku Olimpiki tumeng'ara sasa ni zamu ya Muziki wetu kupaa kimataifa.
Kama ni kweli nawapongeza mno vijana hawa kwa mafanikio makubwa waliyofikia kwa kutambulika kimataifa. Tanzania tunapaa kimataifa huku timu ya Taifa imetwaa kombe la CECAFA huku Olimpiki tumeng'ara sasa ni zamu ya Muziki wetu kupaa kimataifa.