Wasanii wabongo wanaishi maisha ya kuunga sana siku anapata dili ya UN nafikiri huenda siku hiyo akapata mzuka wa kuhehuka mchana peupe maana atajipigilia picha mpaka msalani.
Wasanii wetu wanahitaji course ya muda mrefu sana kuhusu SHERIA, LIFE STYLE & INNOVATION kwenye kazi zao, kubana pua na kutembea uc.hi hakutawapeleka popote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.