Hamas walimkuta Joshua amevaa bulletproof

Mimi nina boxer ya kijeshi na handkerchief ya kijeshi na sio mwanajeshi. Tumia akili ata kwa kuazima tu.
 
Kwa Israel ni jambo la kawaida kujiandaa na emergency. Sio yeye tu. Raia kibao wana bullet proof vests na kila nyumba ina safety bunkers. Hiyo bado sio sababu.
 
Angalia wenzako wanakuja na hoja! Lini mnafungua shule maana humu J.F hapakaliki
suala la kufungua shule hiyo defense to comfort your emotional.

Kama unayo hoja weka hapa tujadili.

Una akaunti zaidi ya sita?😂

Hio mechanism ya kujilinda unatumia 21st century?
 
suala la kufungua shule hiyo defense to comfort your emotional.

Kama unayo hoja weka hapa tujadili.

Una akaunti zaidi ya sita?😂

Hio mechanism ya kujilinda unatumia 21st century?
Leta hoja wewe uliekurupukia kujibu comments zangu maana nilikuwa na bishana na watu kidogo wananikaribia level ila naona dogo ukarukia comments
 
Jamaa haozi.
Hamas wanafukia ndugu zao ila jamaa wanaye tu.
Jamaa ni special Sana .
Tunahitaji viongozi sio Wanasiasa.....ni uhuni uhuni tu.
 
Wala sipingani na wewe yawezekana walio muuwa Joshua ni wayahudi maana ile video ukiiangalia vizuri ina utata
Sawa tuliona hapa asilimia kubwa ya waislamu walivyo unga mkono yale mauaji ya Jo na kuleta photoshop akiwa amevaa nguo za kijeshi
 
Behaviour pattern za watu wenye wajukuu huwezi kuwa humo!

Kuna mawili.

Mosi, upo kwa wazazi.

Pili, jobless.

njoo tuongelee hoja mdogo wangu.
Subiri nipige "morning glory" kwa shemeji yako, wewe usiekuwa na demu kapige masta bafuni!
 
Leta hoja wewe uliekurupukia kujibu comments zangu maana nilikuwa na bishana na watu kidogo wananikaribia level ila naona dogo ukarukia comments
Wewe ndio ulikuwa unabishana sababu bado upo kwa wazazi😂

Angalia sir john roberts, tazama bwana utam hao ndio wanajadilana kwa hoja wewe huna unalojua zaidi ya matusi na baada ya kujiona mjinga umeacha kutukana!

Una pointi?
 
Wewe ndio ulikuwa unabishana sababu bado upo kwa wazazi😂

Angalia sir john roberts, tazama bwana utam hao ndio wanajadilana kwa hoja wewe huna unalojua zaidi ya matusi na baada ya kujiona mjinga umeacha kutukana!

Una pointi?
Ukikua utaacha kubishana na wakubwa, kaoge uende tuishieni
 
Nguo za fatigue ni za kawaida kwa wenzetu, siyo kile mwenye kuvaa fatigure ni mwajeshi bali hizo ni nguo za suluba kwa mfano kufanya kazi mashambani au kuwinda maporini. Jeshi la Israel halichukui mtu asiyekuwa Myahudi kuogopa kutoa siri. Jeshi lote la israeli ni la wayahudi tu. Yeye kuisha eneo moja na askari wa israle siyo jambo la ajabu kwa vijana wote wa israle ni wanajeshi; kuna wale ambao ni active na wale wa akiba
 
When i choose to keep quiet it doesnt mean that i am afraid of you or i agree with what you said, it means your level of stupidity left me speechless
✌️Peace
Don't bring silly quotes here just agree that you can't compete with me on anything I would rather compete with a cow thank you un matured boy
"I FIGHT WITH THE ONES I CAN BUILD SKILLS THROUGH IT, IF I STAY SILENCE THAT'S WHEN YOU SHOULD KNOW YOU CAN'T BE ON MY LEVELS" ~~by captain fire
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…