Hamas walimkuta Joshua amevaa bulletproof

K

Kwahiyo kama sijawahi kumuona Mungu nisiulize anachosema huyu jamaa kuhusu nyumba kuwa na mashimo?

Nyie watumwa wa fikra mna shida sana aisee
Ndiyo kwa sababu hiyo ni common knowledge inapokuja kwa maisha ya waisrael. Yaani unaambiwa Masai anatembea na mkuki wewe unashangaa?!
 
angalia wanavyosambaratishwa na drones, kinachoruka ni vipande vya nyama tu ambavyo mbwa na paka wanapita wakivila mchana.
Your browser is not able to display this video.
 
Kinacho leta sinto fahamu ni serikali kutojitokeza kutolea ufafanuzi wa hili jambo wamekaa kimia sijui wana ficha nn hasa ambacho hatutakiwi kujua ,yaani maccm ni majitu ya hovyo sana.
We ujui kwamba rais wako ni muarabu sema bongo bahati mbaya?
 
..mwili wa kijana Mtanzania urudishwe ili familia imzike.

..haijalishi ameuawa na nani, na alikuwa akifanya eneo maiti yalipomkuta.

..serikali inao wajibu wa kurejesha mwili wake.

..Ni raia wa Tanzania.
 
Now mmekiri waliomuua ni hamas na sio Israel bado mtasema
 
Kwenye ile video sijaona bullet proof.au mimi ndo sioni vizuri.
 
This is such a dumb take. Huwa mimi siongei na terrorists wa JamiiForums ila this is a nonsense take. Kwahio wa Thailand wanaoenda kufanya kazi wanaenda kufanya hivyo unavyosuggest? This was an innocent kid killed ffs
 
Dumb ass
 
Hamna faida, jeshi halina vifaa vingi vya kisasa. Watajifunza na watakaa mpaka wanastaafu hawatawahi kutumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…