johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
DuhFikra zako za kipuuzi sana. Wewe kwa akili yako ndogo unaona bullet proof ni kitu cha ajabu?
Kuna wakati tulikuwa kwenye ziara ya kikazi kwenda Kabanga, Ngara. Kwa sababu matukio ya watu kutekwa wakiwa kwenye magari binafsi au mabasi yalikuwa mengi wakati huo, sisi sote, kila mmoja alipewa bullet proof na kampuni. Na huo ulikuwa ni utaratibu wa kawaida kwa kila aliyekuwa akisafiri kuelekea Ngara au Bukoba. Na hiyo haikumaanisha sisi sote tulikuwa wanajeshi.
Maeneo ambayo hali ya usalama ni mdogo kama vile maeneo yaliyopo mpakani mwa Israel na Gaza, au Israel na Lebanon, kunakuwa na tahadhari za kawaida za kiusalama. Lakini pia maeneo hayo yanakuwa na askari walinzi wa mipakani.
Kukitokea ambush, askari pia huwasaidia raia namna ya kujiokoa.
Lililo wazi ni kwamba mashetani magaidi ya Hamas yamewaua vijana wetu. Lililo baya zaidi, hata humu nchini tuna magaidi. Mengine ndiyo yale yaliyofanya mauaji kule Kibiti, Mkuranga na Tanga. Lakini mengine tunayo humu mtaani, ndiyo haya ambayo kila siku ya awatetea magaidi ya Hamas. Haya magaidi ya mtaani tunayoishi nayo, yana roho ya ugaidi, hayajapata tu mazingira ya kutekeleza uovu wao uliopo mioyoni mwao.
Tuzidi kuomba magaidi ya Hamas na magaidi mengibe yote yaangamizwe, ili Dunia iwe mahali sakama pa watu wema.
Joshua alikuwa kwenye kikosi cha jeshi la Israel,kuna picha alionekana akiwa kitandani akiwa na wanajeshi wa Israel siku waliyotembelewa na Netanyahu.
Wewe umetumia akili za kuazima kutoka wapi? Ama nzi ndio wamekuazima akili zao?Mimi nina boxer ya kijeshi na handkerchief ya kijeshi na sio mwanajeshi. Tumia akili ata kwa kuazima tu.
Hii picha ingepatikana ingeleta umuhimu mkubwa sana,ingawaje kwa wenye kuwaza mbali hadi sasa watakua wameliona hilo haswa jinsi serikali ya Israel ilivyotoa ushirkiano kupitia jeshi lake ikiwemo kuidafirisha familia hadi Israel,hiyo sio hadhi ya mwanafunzi anaesoma, wanafunzi wangapi wanafia ughaibuni?!! Wanapewa treatment kama za Joshua Molel?!!Joshua alikuwa kwenye kikosi cha jeshi la Israel,kuna picha alionekana akiwa kitandani akiwa na wanajeshi wa Israel siku waliyotembelewa na Netanyahu.
Sijasema Mimi , wayahudi wenyewe waisraeli wanajisifu kuwa nchi yao inaongoza kwa ushoga , wewe Myahudi wa Manzese unakuja kutetea laana hiyo?kaanzishe mada ya ushoga tuje tukunyuke huko, unapenda sana mambo hayo huachi kuyatajataja
shoga ni wewe unaowaza ushoga kila wakati, yule kijana ni shujaa wetu kafia mazoezini kwenye vita halisi
Huyo atakuwa ni shoga mwenzakeKabisa mkuu...yan watu wa Hivi wana unafiki wa hali ya juu,hv kma ni kweli jamaa alikuwa anatumikia jeshi la wazayuni hv atakuwa ameuA waoalestina wangapi? Hv wale palestines ni mawe?
Watu wamekaza tu "mtanzania mwenzetu" unafiki mkubwa
Yaani wapelekwe wakafie ushoga ?Kuliko kupeleka vijana congo na afrika ya kati si bora kupeleka vijana huko israel na urusi/ukraine wakaive kimedani? Kufa kupo kila mtu atakufa
Yaani eti kijana kafa Hana chupi ?? kavaa bullet proof kifuani Si vichekesho hivi ??shoga ni wewe unaowaza ushoga kila wakati, yule kijana ni shujaa wetu kafia mazoezini kwenye vita halisi
shoga ni wewe unaowaza ushoga kila wakati, yule kijana ni shujaa wetu kafia mazoezini kwenye vita halisi
mashoga ndio kitu gani? Naona umekomalia tu kitu hichoSijasema Mimi , wayahudi wenyewe waisraeli wanajisifu kuwa nchi yao inaongoza kwa ushoga , wewe Myahudi wa Manzese unakuja kutetea laana hiyo?
mashoga ndio kitu gani? Naona umekomalia tu kitu hicho
wewe ukliwahikumuona Mungu? au kufika mbinguni?Umewahi kufika Israel ukaziona na hizo nyumba zenye safe rooms mkuu?
Kwahiyo kama sijawahi kumuona Mungu nisiulize anachosema huyu jamaa kuhusu nyumba kuwa na mashimo?wewe ukliwahikumuona Mungu? au kufika mbinguni?
Mkuu tuletee picha hiyo!Joshua alikuwa kwenye kikosi cha jeshi la Israel,kuna picha alionekana akiwa kitandani akiwa na wanajeshi wa Israel siku waliyotembelewa na Netanyahu.
Ngoja na mm niingie kwenye huu mjadala, ambao umekuwa unaendelea karibu mwezi mmoja sasa. Natumain nitatao extensive insights, ambayo itawasaidia vijana wa kizazi hiki cha sasa. Nataka kuwambia kitu muhimu sana, ambacho wengi hamkijui. Hapa, Tanzania mwalimu alianzisha JKT , na kuhakikisha kuwa kila atakayemaliza chuo cha ualimu au kidato cha sita, lazima ajiunge. Dhumuni la JKT ilikuwa kuwapata, vijana wakakamavu na ambao watalinda nchi yetu, mahali popote. Na wazo hili mwalimu alilipata kutoka kwa wa Israeli. Walimwambia ili kuwa, na vijana shupavu na wanaweza, kulinda Taifa, lazima kila MTU apate mafunzo ya JKT hasa wasomi. Kwa, mantiki hiyo kijana yeyote wa Israel au mgeni, katika nchi hiyo, lazima ajiunge na mafunzo maalum ya kuwa, mkakamavu na pia kulinda nchi yake.Ni dhahiri huyu kijana wetu alikuwa, katika mafunzo maalum ya ukakamavu ndio maana alikuwa amevaa bullet proof. Na pia, alikuwa na wanajeshi wengine, wanaohusika na mafunzo ya kijeshi. Ni jambo la kawaida. Kuhusu, kwamba wale HAMAS kumkamata barabarani, hii ni kwa kuwa baada ya kumteka waliondoka nae, na walikuwa, wanamuhoji njiani. Ni hayo machache tu.Sakala la Joshua Molel kuuawa na HAMAS lilileta mfadhahiko na tafrani kwenye jamii.
Binafsi niliona taarifa zake kuna walakini kwani Joshua tulitangaziwa na mwenzie mmoja kua walitekwa na HAMAS mnamo tarehe 7 October ila video ya mauaji ya Molel ilikuja kuachiwa mwezi December baada ya balozi wa Palestine kuanza kuelezea baadhi ya mambo kwenye media (haswa clouds tv)
Serikali ilijitokeza na kusema familia ya Molel itasafirishwa kwenda Israel kwa ajili ya taarifa zaidi,well jambo jema familia kusafirishwa kwa ajili ya briefing ila kwa mtu anaeweza kuwaza mbali inatosha kuleta maswali kua kuna taarifa zaidi za ndani haziko wazi na binafsi ilipelekea kuandika andiko hili, Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel
Baba mzazi wa Molel amerejea kutoka Israel na kwenye mahojiano na vyombo vya habari ameeleza bayana kua mwanae alikua amevaa bullet proof na aliuawa pamoja na askari watano wa Israel walipokuja sehemu moja. Hizo ni taarifa za mzazi ambae ametoka Israel kukutana na jeshi la Israel.
Watanzania wengi wamesahau kabisa kua bado Molel iliripotiwa alikua na Mtanzania mwenzie walipotekwa na HAMAS,mbona hadi leo hatutajiwi jina lake?!! Hali yake ikoje?!! Nae alikamatwa akiwa kavaa bullet proof ama akiwa chuoni?!!.
Tumsikilize Mzee Molel mwenyewe.
View: https://www.instagram.com/reel/C1crB_6KGs0/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==