Hamad Rashid amesahau 1995 - 2000?

MushyNoel

Senior Member
Jan 13, 2011
104
9
Hamad Rashid alikuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ( bunge la tisa) 2005-2010.Kwa wakati huu wa bunge la kumi ambapo Chadema wamepata uhalali wa kikanuni wa kuunda kambi ya upinzani bungeni kwa kufikisha asilimia 12.5% ya wabunge wote bado Hamad Rashid anajaribu kujenga mazingira kwamba ni lazima kambi hiyo iwe ya wote.

Kwamba ule uhalali wa CDM kuunda kambi hiyo sasa unakuwa ni lazima na wengine.

Mwaka 1995 kuelekea 2000 CUF waliunda kambi ya upinzani bungeni wakishirikiana na UDP waliokuwa na wabunge 4 ili kwa kuwahusisha na wa UDP wafikie asilimia 12.5% kama taratibu zinavyosema. Waliwaacha NCCR nje tena NCCR mageuzi walikuwa na wabunge 28.

Ni vizuri CUF wakaelewa kwamba kwa sasa (2005-10) CDM ndio wenye haki ya kuunda kambi ya upinzani bungeni.
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ndiye waziri mkuu kivuli, hivyo anapata
  1. Ofisi pale bungeni Dodoma yenye wafanyakazi 4 na ofisi ndogo Dar es Salaam yenye wafanyakazi 2
  2. Nyumba ya serikali pale Dodoma yenye watumishi wawili na ulinzi 24/7
  3. Gari la serikali lenye hadhi, na dereva/bodyguard, mafuta kumwezesha kuzunguka nchi nzima.
  4. Posho kama ya Waziri Mkuu.
  5. Ndiye mtu wa kwanza kuulizwa swali kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
  6. Kipaumbele kwenye safari za nje
  7. etc etc
Sasa yote haya uyakose!, hata ningekuwa mimi, ningeomba kanuni zibadilishwe na kupata japo nusu ya marupurupu haya!
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ndiye waziri mkuu kivuli, hivyo anapata
  1. Ofisi pale bungeni Dodoma yenye wafanyakazi 4 na ofisi ndogo Dar es Salaam yenye wafanyakazi 2
  2. Nyumba ya serikali pale Dodoma yenye watumishi wawili na ulinzi 24/7
  3. Gari la serikali lenye hadhi, na dereva/bodyguard, mafuta kumwezesha kuzunguka nchi nzima.
  4. Posho kama ya Waziri Mkuu.
  5. Ndiye mtu wa kwanza kuulizwa swali kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
  6. Kipaumbele kwenye safari za nje
  7. etc etc
Sasa yote haya uyakose!, hata ningekuwa mimi, ningeomba kanuni zibadilishwe na kupata japo nusu ya marupurupu haya!

umefunga mjadala!!!
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ndiye waziri mkuu kivuli, hivyo anapata
  1. Ofisi pale bungeni Dodoma yenye wafanyakazi 4 na ofisi ndogo Dar es Salaam yenye wafanyakazi 2
  2. Nyumba ya serikali pale Dodoma yenye watumishi wawili na ulinzi 24/7
  3. Gari la serikali lenye hadhi, na dereva/bodyguard, mafuta kumwezesha kuzunguka nchi nzima.
  4. Posho kama ya Waziri Mkuu.
  5. Ndiye mtu wa kwanza kuulizwa swali kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
  6. Kipaumbele kwenye safari za nje
  7. etc etc
Sasa yote haya uyakose!, hata ningekuwa mimi, ningeomba kanuni zibadilishwe na kupata japo nusu ya marupurupu haya!

kumbe ndiyo maana mpemba amechanganyikiwa! CDM wasikubali kuungana naye mpaka amewaomba msamaha hadharani.
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ndiye waziri mkuu kivuli, hivyo anapata
  1. Ofisi pale bungeni Dodoma yenye wafanyakazi 4 na ofisi ndogo Dar es Salaam yenye wafanyakazi 2
  2. Nyumba ya serikali pale Dodoma yenye watumishi wawili na ulinzi 24/7
  3. Gari la serikali lenye hadhi, na dereva/bodyguard, mafuta kumwezesha kuzunguka nchi nzima.
  4. Posho kama ya Waziri Mkuu.
  5. Ndiye mtu wa kwanza kuulizwa swali kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
  6. Kipaumbele kwenye safari za nje
  7. etc etc
Sasa yote haya uyakose!, hata ningekuwa mimi, ningeomba kanuni zibadilishwe na kupata japo nusu ya marupurupu haya!

mafweza hayo udenda unamtoka
 
Wacha cdm tule raha ila kazi ya ukweli izidi kufanyika, cuf you had your time now it's no more, nyinyi si mna share na ccm kuleni vya ccm
 
Kama kiongozi wa Kambi ya upinzani anapata marupu rupu yote hayo, ni wazi Hamad inamuuma, inauma kuyakosa. Hata hivyo akumbuke kwamba amefaidi miaka yote 5 iliyoisha.

Kutesa kwa zamu ndugu yangu. Mangi mambo yake yamenyooka na iko wazi kabisa, uongozi ni kama mbio za kupokezana kijiti. This time ni CDM
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ndiye waziri mkuu kivuli, hivyo anapata
  1. Ofisi pale bungeni Dodoma yenye wafanyakazi 4 na ofisi ndogo Dar es Salaam yenye wafanyakazi 2
  2. Nyumba ya serikali pale Dodoma yenye watumishi wawili na ulinzi 24/7
  3. Gari la serikali lenye hadhi, na dereva/bodyguard, mafuta kumwezesha kuzunguka nchi nzima.
  4. Posho kama ya Waziri Mkuu.
  5. Ndiye mtu wa kwanza kuulizwa swali kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
  6. Kipaumbele kwenye safari za nje
  7. etc etc
Sasa yote haya uyakose!, hata ningekuwa mimi, ningeomba kanuni zibadilishwe na kupata japo nusu ya marupurupu haya!

Now I get it!
 
UNAJUA UKISOMA KWENYE BAIBO HAYA MAMBO YALISHAANDIKWA KOR 5:19-23
ULAFI ULAFI WAKO WATU WA MUNGU WENGI WALAFI PASIPO JIJUA YAANI MATUMBO YAO
AYASEMI IMECHOKA..TUNAITJ KUSEMA IMETOSHA..WEWE KILA SEHEMU WEWE .MWENYEKITI WA MTAA,BODI,,SHULE,KANISANI,LOH UCHOKI...

NARUDI KWA NDUGU YANGU HUYU MH HAMAD RASHID RAFIKI YANGU MKUBWA KWA KWELI KWANZA ANAJIAMINI LAKINI UPANDE MWINGINE KAMA BIN ADAM ANA MAPUNGUFU YAKE MENGI NAAMINI MUDA UMEFIKA WA KUREKEBISHA..HAMAD RASHID AMEKUWA MUDA WOTE AKIGOMBANIANA NA MBOWE KUHUSU KUONGOZA UPINZANI BUNGEN LAKINI MPAKA MBOWE ALIPOTUFUMBUA KUMBE ANAGOMBANIA SHANGINGI,,NYUMBA MASAKI..NA MENGINE MENGI TUYA POSHO AKUYAMALIZIA..

KWA MNAOMWONA GARI AANAYOTEMBELEA MBOWE KWA KWELI NIMEWIWA KUELEWA KWA NINI JAMAA ALIKUWA AKIGOMBANIA WATU WAACHE SHERIA ZA BUNGE NA KUMFWATA YEYE

MASKINI JANA SPIKA AKAMMALIZA KABISA SASA BASI UPINZANI N MMOJA TU ATI LEO ANATAKA WAPINZANI WASHIRIKIANE ..WAKATI WA KUPIGA KURA MKAJITENGA,,,WAKATI WABUNGE WA CHADEMA WANAONDONKA MKO BUNGEN ENDELEENI KUKAA MISUKULE YA CCM HIVYO HIVYO MPAKA MWISHO WA BUNGE OK...

ONYO

MBOWE MARUFUKU KUWASHIRIKISHA HAWA WATU KWENYE UWAZIRI PINZANI..HAWA AKUNA TOFAUTI NA SUMU ...WALIKUWA WAKITISHIA UPINZANI ATI WATAKIONA CHADEMA KWENYE MAAMUZI KAMA WATAKIONA LEO HII UNATAKA WASHIRIKIANE NA WEWE KAMA NANI,...

Dearest
HAMAD UMEFIKA WAKATI HATA KAMA ULILEWA MADARAKA MZEE WANGU HUWA YANABADILIKA SAME CCM IKO LEO KESHO CHADEMA CUF WANARUDI MADARAKANI....SO UWE NA KIPIMO NDUGU ZANGU WAKRISTO WANASEMA ULAFI UARIBU UMBO LAKO..SITAKI NIFIKE UKO KAMA UKINLAZIMISHA

NAWATAKIA BUNGE JEMA WOTE MSIWE WAHUDHURIAJI BALI WATENDAJI
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ndiye waziri mkuu kivuli, hivyo anapata
  1. Ofisi pale bungeni Dodoma yenye wafanyakazi 4 na ofisi ndogo Dar es Salaam yenye wafanyakazi 2
  2. Nyumba ya serikali pale Dodoma yenye watumishi wawili na ulinzi 24/7
  3. Gari la serikali lenye hadhi, na dereva/bodyguard, mafuta kumwezesha kuzunguka nchi nzima.
  4. Posho kama ya Waziri Mkuu.
  5. Ndiye mtu wa kwanza kuulizwa swali kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
  6. Kipaumbele kwenye safari za nje
  7. etc etc
Sasa yote haya uyakose!, hata ningekuwa mimi, ningeomba kanuni zibadilishwe na kupata japo nusu ya marupurupu haya!
Kumbe!Ndio maana inamuuma na anataka waungane
 
CUF imo ndani ya serikali ya CCM kule Zanzibar na Maalim Seif ni Makamu wa Kwanza wa Rais. Hadhi ya CUF kuendelea kuitwa wapinzani upande mmoja wa Muungano ni kichekesho kama sio dhihaka kwa siasa za ushindani!
 
CUF imo ndani ya serikali ya CCM kule Zanzibar na Maalim Seif ni Makamu wa Kwanza wa Rais. Hadhi ya CUF kuendelea kuitwa wapinzani upande mmoja wa Muungano ni kichekesho kama sio dhihaka kwa siasa za ushindani!

Yaani siasa za bongo sometimes ni kichekesho tu!!!!!!!!!!
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ndiye waziri mkuu kivuli, hivyo anapata
  1. Ofisi pale bungeni Dodoma yenye wafanyakazi 4 na ofisi ndogo Dar es Salaam yenye wafanyakazi 2
  2. Nyumba ya serikali pale Dodoma yenye watumishi wawili na ulinzi 24/7
  3. Gari la serikali lenye hadhi, na dereva/bodyguard, mafuta kumwezesha kuzunguka nchi nzima.
  4. Posho kama ya Waziri Mkuu.
  5. Ndiye mtu wa kwanza kuulizwa swali kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
  6. Kipaumbele kwenye safari za nje
  7. etc etc
Sasa yote haya uyakose!, hata ningekuwa mimi, ningeomba kanuni zibadilishwe na kupata japo nusu ya marupurupu haya!

Pasco;

Kiongozi wa Upinzani Bungeni anapata tena bure kabisa BIMA NONO YA AFYA nchini TZ au hata huwa hamna usumbufu kabisa kwake tofauti na Mbunge wa kawaida kama ataamua kwenda nje ya nchi kupata matibabu ya afya yake!

Pia kidemokrasia ndiye anayepaswa kutaarifiwa kwanza na serikali iliyopo madarakani mambo muhimu yanayohusu dola ya Bunge ikiwemo ni lini na saa ngapi Rais atafika kulihutubia Bunge.

Mkuu wa Upinzani Bungeni sehemu yeyote duniani ina ulaji sana hata sikushangaa kabisa kusikia Mbunge Hamad wa CUF bado anaitolea udenda nafasi hii!
 
Kumbe vurugu zote ni kwa sbb kuna mafungu ya maana!

Nawashangaa Kafulila na wenzake kukomalia hilo nyuma ya Hamad, ondokeni huko kama mko serious. Vinginevyo wananchi watawahukumu come 2015!!! Acheni siasa za majitaka za akina Mmbatiaa et al..........
 
2009 nikiwa Pemba wadau walinijulisha kwamba jamaa kaongeza mke kigoli, mayb aliproject kwamba ataendelea kuwa mkuu wa kambi ya upinzani,sasa mambo yameanza kwenda kombo anatafuta pa kutokea....
 
Ukweli mtupu
unajua ukisoma kwenye baibo haya mambo yalishaandikwa kor 5:19-23
ulafi ulafi wako watu wa mungu wengi walafi pasipo jijua yaani matumbo yao
ayasemi imechoka..tunaitj kusema imetosha..wewe kila sehemu wewe .mwenyekiti wa mtaa,bodi,,shule,kanisani,loh uchoki...

Narudi kwa ndugu yangu huyu mh hamad rashid rafiki yangu mkubwa kwa kweli kwanza anajiamini lakini upande mwingine kama bin adam ana mapungufu yake mengi naamini muda umefika wa kurekebisha..hamad rashid amekuwa muda wote akigombaniana na mbowe kuhusu kuongoza upinzani bungen lakini mpaka mbowe alipotufumbua kumbe anagombania shangingi,,nyumba masaki..na mengine mengi tuya posho akuyamalizia..

Kwa mnaomwona gari aanayotembelea mbowe kwa kweli nimewiwa kuelewa kwa nini jamaa alikuwa akigombania watu waache sheria za bunge na kumfwata yeye

maskini jana spika akammaliza kabisa sasa basi upinzani n mmoja tu ati leo anataka wapinzani washirikiane ..wakati wa kupiga kura mkajitenga,,,wakati wabunge wa chadema wanaondonka mko bungen endeleeni kukaa misukule ya ccm hivyo hivyo mpaka mwisho wa bunge ok...

Onyo

mbowe marufuku kuwashirikisha hawa watu kwenye uwaziri pinzani..hawa akuna tofauti na sumu ...walikuwa wakitishia upinzani ati watakiona chadema kwenye maamuzi kama watakiona leo hii unataka washirikiane na wewe kama nani,...

Dearest
hamad umefika wakati hata kama ulilewa madaraka mzee wangu huwa yanabadilika same ccm iko leo kesho chadema cuf wanarudi madarakani....so uwe na kipimo ndugu zangu wakristo wanasema ulafi uaribu umbo lako..sitaki nifike uko kama ukinlazimisha

nawatakia bunge jema wote msiwe wahudhuriaji bali watendaji
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ndiye waziri mkuu kivuli, hivyo anapata
  1. Ofisi pale bungeni Dodoma yenye wafanyakazi 4 na ofisi ndogo Dar es Salaam yenye wafanyakazi 2
  2. Nyumba ya serikali pale Dodoma yenye watumishi wawili na ulinzi 24/7
  3. Gari la serikali lenye hadhi, na dereva/bodyguard, mafuta kumwezesha kuzunguka nchi nzima.
  4. Posho kama ya Waziri Mkuu.
  5. Ndiye mtu wa kwanza kuulizwa swali kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
  6. Kipaumbele kwenye safari za nje
  7. etc etc
Sasa yote haya uyakose!, hata ningekuwa mimi, ningeomba kanuni zibadilishwe na kupata japo nusu ya marupurupu haya!

Sasa nimeelewa kwa nini jamaa kichwa chake hakitulii!
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ndiye waziri mkuu kivuli, hivyo anapata

  1. Ofisi pale bungeni Dodoma yenye wafanyakazi 4 na ofisi ndogo Dar es Salaam yenye wafanyakazi 2
  2. Nyumba ya serikali pale Dodoma yenye watumishi wawili na ulinzi 24/7
  3. Gari la serikali lenye hadhi, na dereva/bodyguard, mafuta kumwezesha kuzunguka nchi nzima.
  4. Posho kama ya Waziri Mkuu.
  5. Ndiye mtu wa kwanza kuulizwa swali kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
  6. Kipaumbele kwenye safari za nje
  7. etc etc
Sasa yote haya uyakose!, hata ningekuwa mimi, ningeomba kanuni zibadilishwe na kupata japo nusu ya marupurupu haya!

Daaaah,maskini hamad atakondaaa,,....kumbeeee
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom