Hamad Rashid amesahau 1995 - 2000?

Kuna taarifa kwamba kambi isiyo rasmi bungeni wanajiandaa kupeleka mswada wa kubadili Kanuni za kudumu za bunge ili zimlazimishe Kiongozi wa Upinzani Bungeni kuteua mawaziri vivuli kutoka vyama vyote vya upinzani

Source: Nipashe Januari 27, 2011
 
Bunge la 2000 hadi 2005 CUF waliwashirikisha Chadema kwenye kambi ya Upinzani! Sasa hapa nani mrafi wa madaraka kama sio Mbowe na Chadema? Maskini akipata makalio hulia Mbwata!


Hamad angefanya jitihada za ziada ili kupata wabunge wengi CUF aendelee kubaki kuwa kiongozi wa upinzani sio kubweteka, si aliona CHADEMA walivyochacharika.. sasa kapoteza kiti kihalali kabisa then anaanzisha siasa za maji taka... Angekuwa mjanja alivyoona kuna kila dalili Chadema kuwapita CUF kwa wingi wa wabunge angejiunga chapchap na Chadema labda angeambulia uasistant!!!!!.Tehe teh!! Kaazi kwelkweli..:clap2:
 
[FONT=ArialMT, sans-serif]Mbunge wa Wawi(CUF),Hamad Rashid Mohamed anatarajia kuwasilisha maombi ya kuliomba Bunge kubadilisha kanuni ili kukilazimisha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuteua mawaziri kivuli kutoka vyama vingine vya siasa ndani ya kambi ya upinzani.[/FONT]

[FONT=ArialMT, sans-serif]Mohamed alisema nia ya vyama hivyo kutaka kuingizwa katika kambi ya upinzani sio kwa lengo la kupata fedha, bali ni kutaka kuimarisha umoja wa wapinzani bungeni.[/FONT]

[FONT=ArialMT, sans-serif]Alisema umoja ndani ya bunge ni kitu muhimu ili kuwawezesha wabunge wa upinzania kuwa na sauti ya pamoja itakayopambana na wabunge kutoka chama tawala.[/FONT]

[FONT=ArialMT, sans-serif]Aliongeza kuwa wabunge kutoka vyama visivyokuwa kambi rasmi bungeni wapo tayari kushirikiana na Chadema ikiwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe, atawateua kuwa mawaziri vivuli.[/FONT]

Wakati Hamad akisema hayo[FONT=ArialMT, sans-serif], John Cheyo(UDP), na Augustine Mrema (TLP) kwa nyakati tofauti wamesema hakuna haja kwa wapinzani kugombania kuingia katika kambi ya upinzani bungeni kwa kuwa suala hilo halina maslahi kwa wapigakura waliowatuma wabunge kuwawakilisha.[/FONT]

[FONT=ArialMT, sans-serif]Wamesema kitu cha msingi ni wabunge kutumia fursa waliyopata kuibana serikali ili itatue kero zinazowakabili wapiga kura wao na sio vinginevyo. Wame[FONT=ArialMT, sans-serif]zitaka pande zinazopingana kuweka mbele maslahi ya wananchi.[/FONT][/FONT]


My take: Huyu Hamad anatafuta kitu gani ndani ya kambi ya upinzani, ina maana wasipoteuliwa kuwa mawaziri vivuli hawatashirikiana? Nimeanza kuwa na wasiwasi naye, Mbowe na Chadema should be very careful na kauli hizi za HR.


Source: Nipashe
 
Huyu mtu ni mrafi na ana uchu wa madaraka. Ni mwepesi wa kusahau. Tukiachilia mbali mambo mabaya waliyoyafanya cuf miaka hiyo zaidi ya 10, lakini ni hivi majuzi tu kuanzia kipindi cha kampeni cuf walifanya mambo mabaya sana ya kuidhoofisha chadema. Machache ninayoyakumbuka kwa haraka ni haya:

1. Wakishirikiana na ccm na nccr, cuf walipandikiza chuki kwa wananchi dhidi ya chadema kuhusu udini na ukabila.
2. Waliisema vibaya sana chadema
3. Waliipigia kampeni ccm
4. Walitaka wananchi wasiichague chadema
5. Waliwazomea wabunge wa chadema waliposusia hotuba ya mkwere kwenye kikao cha kwanza cha bunge, zaidi ya yote hayo waliwaponda vibaya sana chadema.
6. Wakati wa mdahalo kuhusu kambi ya upinzani, cuf waliendelea na propaganda zao dhidi ya chadema

-Kutokana na hayo yote, mtu unabaki unajiuliza: Huu urafiki unaolazimishwa ghafla unatokea wapi?
-Wakati wanafanya huo uzandiki wao, cuf hawakujua kuwa itatokea siku watahitaji kuungana na cdm?
-Au walidhani wataendelea kuwa wao pekee ndio wenye dhamana ya kujenga kambi ya upinzani.
-Kwa bahati mbaya wanalazimisha sasa kuungana baada ya jaribio lao la kuunda kambi ndogo ya upinzani kukwama.

Mi nasema kama wana nia nzuri na taifa si lazima kuwemo kwenye hiyo kambi. Wao tayari ni wapinzani. Kutoa hoja au kutetea taifa si lazima uwe kwenye kambi. Wakati wanaomba kura hawakuahidi kutekeleza ahadi zao wakiwa kwenye kambi. Sasa huo umuhimu wa kambi unatokea wapi?

Kama sikusikia vibaya Mama Spika alisema ni lazima either waende CDM ama waje CCM!!! Hapo sijui vp???:roll:
 
nadhani amewamisi mbowe na zitto kwenye taharifa zake .......karibu hamadi kwani kutoka katika chama tawala huko zanzibar kuna mengi umetunza kichwani kwako.......ila njoo na mema acha mabaya kwani kuna mengi sana waliyokutuma lakini ni machache tuu unayotakiwa kufanya na moja ni kuunganisha upinzani,,,,,,, acha lile la kugonganisha vyama
 
very true...huyu ni popo! kwani nani kamwambia kuwa wasipokuwa na mawaziri vivuli hawawezi kuungwa hoja na wanakambi?

afterall, mbona waliwaumiza sana chadema wakati wa kura za nafasi mbali mbali bungeni ikiwamo ya uspika? leo wameona nini? fu**k em up!
 
Hivi huyu Hamad si ndo alotafutwa waunde kambi ya upinzani mwanzoni akachomoa na kujisifu kuwa watakuwa na kambi ndogo ya upinzani.. Sasa ameshindwa azma yake ndio anarudia mlango wa nyuma... Hawa jamaa sio wapinzani wa kweli bali wasanii tu... Cha msingi ni kuwapiga chini tu!!!
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ndiye waziri mkuu kivuli, hivyo anapata
  1. Ofisi pale bungeni Dodoma yenye wafanyakazi 4 na ofisi ndogo Dar es Salaam yenye wafanyakazi 2
  2. Nyumba ya serikali pale Dodoma yenye watumishi wawili na ulinzi 24/7
  3. Gari la serikali lenye hadhi, na dereva/bodyguard, mafuta kumwezesha kuzunguka nchi nzima.
  4. Posho kama ya Waziri Mkuu.
  5. Ndiye mtu wa kwanza kuulizwa swali kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
  6. Kipaumbele kwenye safari za nje
  7. etc etc
Sasa yote haya uyakose!, hata ningekuwa mimi, ningeomba kanuni zibadilishwe na kupata japo nusu ya marupurupu haya!


duh! now thats bussines... i really need to re-think about my carrier... guess time has come for me to step up and be a well-known and good talker politician ... who knows i might get elected as MP nikigombea kijijini kwetu "AMSANGABUNO AMBUGALUNO AVINO" then automatically bcoz of my well known publicity then i will be a "Kiongozi wa UPINZANI" and get all these fortune... after 5 yrs u wont even see me in here... naenda kuishi mashariki ya mbali.... all i got to do is talking sense to these desperate Tanzanians. thats my CAPITAL.
 
Chadema wasijaribu kukaribisha kansa watajuta, wao wapigane kivyao vyao mbona mwanza wameweza bila kafu.
 
CUF ina ndoa na CCM, mbona wanataka kuolewa tena na Chadema?!!!!!!!!!!!
 
Kuna nafasi bado ya kambi ya upinzani baraza la wawakilishi, mnaweza kujitoa SMZ mkawa wapinzani rasmi.
Ni lazima uchague kuwa baridi au moto, Huwezi kusimama katikati!!!

Duh!! kumbe na waganga wa jadi wanaweza kuongea busara (joking)
Mkuu, huo ushauri inabidi HRM (na kambi yake iliyokuwa fake) waufanyie kazi faster..
I appreciate your wisedom..
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ndiye waziri mkuu kivuli, hivyo anapata
  1. Ofisi pale bungeni Dodoma yenye wafanyakazi 4 na ofisi ndogo Dar es Salaam yenye wafanyakazi 2
  2. Nyumba ya serikali pale Dodoma yenye watumishi wawili na ulinzi 24/7
  3. Gari la serikali lenye hadhi, na dereva/bodyguard, mafuta kumwezesha kuzunguka nchi nzima.
  4. Posho kama ya Waziri Mkuu.
  5. Ndiye mtu wa kwanza kuulizwa swali kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
  6. Kipaumbele kwenye safari za nje
  7. etc etc
Sasa yote haya uyakose!, hata ningekuwa mimi, ningeomba kanuni zibadilishwe na kupata japo nusu ya marupurupu haya!

du sasa naelewa

money breaks friendship
 
Chadema itabidi wawe Makini sana na Hamad Rashid, Je anataka Muungano na Kambi ngapi? Wao wamekwisha ungana na chama tawala anatafuta nn huko Chadema? au wamemtuma? Hamad aliheshimika sana lkn sasa amekuwa mamluki,hiyo ndiyo faida ya kujipendekeza chama tawala wakawapigia kura Spika na Naibu Spika huku wakiwaacha WAPIGANAJI wakihaha peke yao, leo kilikoni Hamad? Wapinzani wakweli wanajulikana baba hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Amaizing kama wanataka ndoa na CDM wavunje kwanza ndoa yao na CCM huko zanzibar nafikiri CDM watabase kwa hilo.

Kwahiyo cdm iko tayari kuolewa na mume aliye fukuza mke wake wa kwanza? duh really amazing
 
Kawida ya CCM ni kutumia na kubwaga. Muulizeni Lamwai yuko wapi!! CUF mlitegemea muafaka/uwaziri mpaka bara, Nyoooooo!!!!!!!!!!! hii ndo CCM bwana.
 
Hamad angefanya jitihada za ziada ili kupata wabunge wengi CUF aendelee kubaki kuwa kiongozi wa upinzani sio kubweteka, si aliona CHADEMA walivyochacharika.. sasa kapoteza kiti kihalali kabisa then anaanzisha siasa za maji taka... Angekuwa mjanja alivyoona kuna kila dalili Chadema kuwapita CUF kwa wingi wa wabunge angejiunga chapchap na Chadema labda angeambulia uasistant!!!!!.Tehe teh!! Kaazi kwelkweli..:clap2:

Huyu hakuwahi kuombwa awe mgombea mwenza wa Slaa akakataa????? sasa anataka nini zaidi?? Mwambieni abaki CUF aendeleze upemba wake wa huku wataka na kule wataka!!
 
Back
Top Bottom