chipaka.com
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,883
- 1,195
Wamebanwa na ,,,,,,,,,muache siasa za mitandaoni


Kabisa hata mimi najiunga voda ile offer yao...Kweli kabsa, pia wakumbuke kuwa hawakupendwa 7bu ya kuingea na kutuma ujumbe, basi bei na kasi yao ndo iliyoshawshi wengi.
Ndo mana unakuta mtu simu ya Halotel anatumia kwa data tu.. Lakin kuingea ni voda au tigo... Kwa hapa watu watarud walikotoka wengi
Hiyo uni offer hadi uwe mwanachuo/karibu na chuo?Mm nimekimbilia vodacom uni offer full GB na dakika za kutosha kwa 1500 tsh tu.
Hivi TTCL wana laini au ni vipi? Nakumbuka zamani walikuwa na simu zao pia. Hebu nielekeze inakuwajeEnyi mlioelemewa na mizigo ya halotel njooni TTCL cha mwezi cha chuo ni buku 5 tu wapata GB 7 saaaaafi!
La usiku hawajabadilisha?Wametuua sana mimi natumia la ucku tu...
Mm nimezoea kujiunga 10000 kwa halopesa napata bonas ya 3000 kujiunga
10000=10GB
2500=2.5GB
500=500MB
Lakin kwa sasa hawanipati
