Halotel wapunguza bundle la Chuo "TUMEKWISHA"

Halotel wapunguza bundle la Chuo "TUMEKWISHA"

Hakuna msemo mwingine zaidi ya "Tumekwisha" kwa sisi tunaotumia line za chuo za halotel, kwa maana hiyo nawaaga rasmi kuwa sitakuwa nanyi leo na hata milele.

Tulizoea unajiunga cha 10,000 kwa mwezi na kupewa GB 10,

Kwa sasa wamepunguza mpaka GB 6 kwa mwezi kwa Tsh 10,000

Tumeknwisha sisi wazee wa Kwasadala au wazee wa Kitonga.
Natumia ttcl boom pack data
7 GB - 5000 Tsh
Najiunga X2 kwa tsh 10K napata GB14 kwa siku 30
 

Attachments

  • Screenshot_20171229-193330.jpg
    Screenshot_20171229-193330.jpg
    43.4 KB · Views: 35
Vodacom wana 21GB kwa mwezi kwa tsh 20,000. Si lazima uwe na University Offer, hata kawaida tu unakula. Lawama hazisaidii, *Pambana na Hali yako.*
Hii unajiungaje, ingawa nao hawaaminiki baadhi ya sehem
 
Halotel walikuwa wapo kwenye kipindi cha majaribio ndio maana walikuwa wanatoa vifurushi vyao kwa bei ya chini kulinganisha na mitandao mingine na kwa sasa hilo limekwisha na wanalazimika kufuata nyayo za watangulizi wao...

Kumbeeee sasa tunawahama
 
Back
Top Bottom