Halotel wapunguza bundle la Chuo "TUMEKWISHA"

Halotel wapunguza bundle la Chuo "TUMEKWISHA"

Tulikua pa1 mkuu, mm nina watu zaidi ya 10 niliwafanya kuwa wateja wa kudumu,sijui ntawaambia nn sasa
hutofautiana na mimi yaan sijui ntawaeleza nini maana wengine ilibidi niwapeleke mguu kwa mguu kusajili Line
 
Natumia ttcl boom pack data
7 GB - 5000 Tsh
Najiunga X2 kwa tsh 10K napata GB14 kwa siku 30
Sasa sisi wenye simu 2 na zote zikiwa na line hiyo TTCL ntaiweka wapi.... Maana kuzi handle sim mbili tu kazi
 
There is always a plan B utakuja Mtandao mwungine utatufaa tu. Hahaa...Air tel si inarudi ngoja tujiandae na kizazi cha T
 
Yaani hawa jamaa wameniboa haijawahi tokea maana mara ya kwanza Tsh 500 ulikua unapata MB 500 baadae wakapunguza hadi 450 sasa juzi kati hapa ndo wamenikata upepo maana ile najiunga nakutana na MB 350 yaani nilichoka balaa.
 
Angalieni huko ndo mtajua garama zake ukichengi kwa Tsh =na 26000 sawa na 1.5 GB
20171229_221201.png
 
Yaani hawa jamaa wameniboa haijawahi tokea maana mara ya kwanza Tsh 500 ulikua unapata MB 500 baadae wakapunguza hadi 450 sasa juzi kati hapa ndo wamenikata upepo maana ile najiunga nakutana na MB 350 yaani nilichoka balaa.
Mwanzo ilikuwa 500 unapata MB 600
 
Back
Top Bottom