Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Kuna mtandao km sikosei unaitwa benson cjui nn ulitajwa ndio uko chini katika gharama zake hivi majuzi...ningeomba kupata maelezo yake maana mm nataka tupa chip trh 2
Exactly mkuu! Internet slow mno jamaa hawa hawafai! Labda wale watumiaji wa dakikaHawa jamaa ndio zero kabisa, internet kama kono kono
Inategemea na mtu. Ni ile ofa ya YA KWAKO TU ile unayopiga *149*03# ila must uwe unaweka kuanzia Salio la 3000 ndo inakuja hii ofa. Me ninayo ingawa line nyingine ambayo naweka 500 kuna ofa ya MB 500 kwa siku 7 na 1.5 GB kwa siku 15.Hii unajiungaje, ingawa nao hawaaminiki baadhi ya sehem
Mtandao gani huu kamanda!Angalieni huko ndo mtajua garama zake ukichengi kwa Tsh =na 26000 sawa na 1.5 GB View attachment 662873
Tatizo gharama za kununua modem (switching cost)...Enyi mlioelemewa na mizigo ya halotel njooni TTCL cha mwezi cha chuo ni buku 5 tu wapata GB 7 saaaaafi!
Umehamia wapi jombaaa tuambiane
Kupata hiyo laini ya chuo ya ttcl ndio mtihani mkuuNatumia ttcl boom pack data
7 GB - 5000 Tsh
Najiunga X2 kwa tsh 10K napata GB14 kwa siku 30
Tatizo gharama za kununua modem (switching cost)...
Njo ttcl 2500tsh =3GB mwezi unawaeza kujiunga Mara nyingi uwezavyo
Si ndo Smart haoKuna mtandao km sikosei unaitwa benson cjui nn ulitajwa ndio uko chini katika gharama zake hivi majuzi...ningeomba kupata maelezo yake maana mm nataka tupa chip trh 2
walianza na 600MBZ mkuu, mi pia ni muhanga wa hiliYaani hawa jamaa wameniboa haijawahi tokea maana mara ya kwanza Tsh 500 ulikua unapata MB 500 baadae wakapunguza hadi 450 sasa juzi kati hapa ndo wamenikata upepo maana ile najiunga nakutana na MB 350 yaani nilichoka balaa.
Du nina ka GB 4 kanaisha tar 12 Jan. Kwa taarifa hii sijui nikimbilie wapi, mambo ya kuperuzi huku unawaza kifurushi haipendezi! TTCL je?Hakuna msemo mwingine zaidi ya "Tumekwisha" kwa sisi tunaotumia line za chuo za halotel, kwa maana hiyo nawaaga rasmi kuwa sitakuwa nanyi leo na hata milele.
Tulizoea unajiunga cha 10,000 kwa mwezi na kupewa GB 10,
Kwa sasa wamepunguza mpaka GB 6 kwa mwezi kwa Tsh 10,000
Tumekwisha sisi wazee wa Kwasadala au wazee wa Kitonga.