Halotel bado hajapata mshindani

Sijawahi ona faida ya halotel na kila mtumiaji wa halotel ni lazima awe na sim card ya matumzi ya muhimu ... Hivyo basi halotel bado sana kwenye ushindani kwa hapa bongo...
Hakuna mtandao uliostable hapa nchini lazima uwe na backup ya mtandao mwingine.
 
Hakuna mtandao wamaana Tz mkuu yote imekuwa majang tu
 
Na hii ndio sababu kubwa yakupunguza mb ili wapate faida zaidi jamaa wametathimini soko wameona washindani wao bado wanasuasua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…