luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Nikiwa kama mkazi ndani ya Halmshauri ya mji huu,
Kiukweli zoezi la postikodi lina hujumiwa licha ya jitihada ya serikali kuwapa taarifa wananchi mara kwa mara juu ya zoezi hili.
Ndani ya halmashauri hii ikiwa leo ni tareh 15 ya mwezi April, kuna kata ambayo sitaitaja zoezi la ukusanyaji wa taarifa za nyumba na kugawa namba bado watendaji wanalipua lipua unakuta nyumba moja imepewa fomu lakini nyumba zingine hazijapewa fomu.
Haieleweki hizi fomu zinatolewa na afisa mwandikishaji postikodi au wananchi wanafuata fomu wenyewe katika ofisj ya kata, yaani in short ni vurugu mechi.
Embu nikaribishe maoni ya wadau toka halmashauri zingine nanyi mseme jambo
Kiukweli zoezi la postikodi lina hujumiwa licha ya jitihada ya serikali kuwapa taarifa wananchi mara kwa mara juu ya zoezi hili.
Ndani ya halmashauri hii ikiwa leo ni tareh 15 ya mwezi April, kuna kata ambayo sitaitaja zoezi la ukusanyaji wa taarifa za nyumba na kugawa namba bado watendaji wanalipua lipua unakuta nyumba moja imepewa fomu lakini nyumba zingine hazijapewa fomu.
Haieleweki hizi fomu zinatolewa na afisa mwandikishaji postikodi au wananchi wanafuata fomu wenyewe katika ofisj ya kata, yaani in short ni vurugu mechi.
Embu nikaribishe maoni ya wadau toka halmashauri zingine nanyi mseme jambo