Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

Bhisumbinyama,
Mkuu nawe ni mmbeya! Kila wakati unaulizia lini nampiga mke wangu! Yanakuhusu nini?
Waache CCM wanajua ya kwao, hangaika na ya kwako!
 
Hawa lazima tuwafuatilie hatua kwa hatua kwa kuwa kwa sasa chama chao ndo kina ridhaa ya kutawala hivyo wakifanya ujinga unatuhusu na wakifanya mazuri tunanufaika. Ndo kwa sasa wanakusanya kodi zetu hao.
 
Kuna ndani ya CCM kunahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana, nani aliota Kinana na Bashte kufanya kazi pamoja leo
 
Back
Top Bottom