nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,026
Kuitwa kwao kulishaahirishwa siku nyingi! Fanya kazi zako acha kusubili yasiyokusaidia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hakuna msafi ndani ya CCMAliye msafi ndani ya ccm ndio pekee atakuwa na uthubutu wa kuwaita na kuwaweka kitimoto.. Lakini ni lazima awe MSAFI
Jr
Nani msafi ndani ya CCM?Aliye msafi ndani ya ccm ndio pekee atakuwa na uthubutu wa kuwaita na kuwaweka kitimoto.. Lakini ni lazima awe MSAFI
Jr
Nani msafi ndani ya CCM?
Kweli? Bado unaamini hivi??Wanasema JPM ndo msafi
Please netajie kiongozi malaika...asye na kosa asiye na mathambi pseKweli? Bado unaamini hivi??
We fala, unaelewa Kiswahili kweli?Please netajie kiongozi malaika...asye na kosa asiye na mathambi pse