Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 21,294
- 46,034
Ni wanawake wachache wanakubali hilo.mi ni mwanamke mkuu,nawajua wanawake wenzangu pia though mimi napambana ila nature ni nature
Ni wanawake wachache wanakubali hilo.mi ni mwanamke mkuu,nawajua wanawake wenzangu pia though mimi napambana ila nature ni nature
ila kuna wanawake wako vizuri sema ndo hivo asilimia kubwa wazinguaji,huku halnashauri nadhani shida itakuwepo ngoja niulize ulize.Mimi nikisha enda hata hospital nikakutana na daktari wa kike akanitibu na kuniandikia dawa hakika hata kuzitumia siendi kuzitumia sasa huko kwenye hizo halmashauri sijui itakuaje
mi nadhani kuna haja ya kuchanganya,ukijaribu kuangalia hizo halmashauri unakuta zimezubaa,mi kuna moja niliona maafisa wamama wananuniana yaani haziivi.Kuna jamaa yangu anafanya kazi nyangh'wale geita anadai,DC,DED,AFSA UTUMISHI,MUHASIBU WILAYA,wote wanawake.
Basi niambie nihamie..niwe King Mswati wa eneo hiloaaah mi ke
Hata babati hivyo hivyo,Katika pita pita zangu kuna jambo nimeliona japo kwangu nimelichukulia kwa sura tofauti kidogo hasa kiutendaji
Juzi nilibatika kufika halmashauri moja inaitwa mji wa mbulu huko manyara.
katika kufatilia baadhi ya mambo niliambiwa kuanzia RC,DC,DED,SLO,AFISA ELIMU wote ni wanawake.
naombeni wazoefu wa masuala ya uongozi na hii halmashauri je mambo yanaenda vizuri au kuwepo kwa huo mlolongo kuna impact yoyote kiutendaji?
Nipo hapa kujifunza
GenZ ni shidaNdiye Mkuu wa Mkoa ambapo Halmashauri zote zipo chini yake.
braza sasa ivi 3najivunia mapumbu tu!!!Katika pita pita zangu kuna jambo nimeliona japo kwangu nimelichukulia kwa sura tofauti kidogo hasa kiutendaji
Juzi nilibatika kufika halmashauri moja inaitwa mji wa mbulu huko manyara.
katika kufatilia baadhi ya mambo niliambiwa kuanzia RC,DC,DED,SLO,AFISA ELIMU wote ni wanawake.
naombeni wazoefu wa masuala ya uongozi na hii halmashauri je mambo yanaenda vizuri au kuwepo kwa huo mlolongo kuna impact yoyote kiutendaji?
Nipo hapa kujifunza
Sio kweli. Kama hamna kachumbari kwenye management ni wao peke yao, hapo Kuna siku kusutana kunakua ndio ajendaHaijalishi ila kiongozi gani, anatakiwa awe na uwezo tu, haijalishi jinsia yake.
Ni Mtazamo wako piaSio kweli. Kama hamna kachumbari kwenye management ni wao peke yao, hapo Kuna siku kusutana kunakua ndio ajenda
Huu ndio ukuda mkubwa sana ss hivi. Siyo Halmashauri tuu, hata Taasisi mbalimbali. Kuna slogan inaimbwa " Wanawake wanaweza,ni zamu yao sasa"Katika pita pita zangu kuna jambo nimeliona japo kwangu nimelichukulia kwa sura tofauti kidogo hasa kiutendaji
Juzi nilibatika kufika halmashauri moja inaitwa mji wa mbulu huko manyara.
katika kufatilia baadhi ya mambo niliambiwa kuanzia RC,DC,DED,SLO,AFISA ELIMU wote ni wanawake.
naombeni wazoefu wa masuala ya uongozi na hii halmashauri je mambo yanaenda vizuri au kuwepo kwa huo mlolongo kuna impact yoyote kiutendaji?
Nipo hapa kujifunza
ndo manake nawapenda wale vijana walompelekea moto yule binti wa yombo!!!Huu ndio ukuda mkubwa sana ss hivi. Siyo Halmashauri tuu, hata Taasisi mbalimbali. Kuna slogan inaimbwa " Wanawake wanaweza,ni zamu yao sasa"
Mkuu wa mkoa wa wilaya 😹😹RC ndiyo nani katika ngazi ya Halmashauri?
Unakunywa dompo au bigMwanamke hafanyi maamuzi bila kumshirikisha mwanaume.
Hata kama hajaolewa, lazima kuna mwanaume anayemwamini na huyo ndiye msaidizi wake katika maaumuzi.
Dompo mkuuUnakunywa dompo au big