Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 3,600
- 5,734
- Thread starter
- #21
ni kweli kabisa na mimi hilo ndo lilinishangaza kwamba kwa nini wasichanganye?Hahaha kumbe unaelewa
Lakini pia nyie ni watu wa hisia sanaa
Wataanza kufanya maamuzi hapo bila yak kuwa logical zaiid li sababu ya hasira, huruma au furaha
Simaanishi kuwa hamko wachapakazi hapana ila mnahitaji usimamizi wa wanaume
Ni kama vile nyumbani bila nyie mambo hayaendi
a