Halmashauri kuongozwa na wanawake tu

Halmashauri kuongozwa na wanawake tu

Hahaha kumbe unaelewa

Lakini pia nyie ni watu wa hisia sanaa

Wataanza kufanya maamuzi hapo bila yak kuwa logical zaiid li sababu ya hasira, huruma au furaha

Simaanishi kuwa hamko wachapakazi hapana ila mnahitaji usimamizi wa wanaume

Ni kama vile nyumbani bila nyie mambo hayaendi

a
ni kweli kabisa na mimi hilo ndo lilinishangaza kwamba kwa nini wasichanganye?
 
Mwanamke hafanyi maamuzi bila kumshirikisha mwanaume.

Hata kama hajaolewa, lazima kuna mwanaume anayemwamini na huyo ndiye msaidizi wake katika maaumuzi.
uko sahihi,Mimi mwenyewe hapa though na jiamini ila kuna mda namuhitaji mwanaume kuniongoza.
 
Nafasi nyingi za halmashauri za huku bara ziko chini ya wanawake, hasa DED.
Na wengi toka visiwani na pwani
Na sio bahati mbaya, au kuwawezesha wanawake.
Kazi yao mtaiona kwenye uchaguzi unaokuja
Sikulijua hili
 
Katika pita pita zangu kuna jambo nimeliona japo kwangu nimelichukulia kwa sura tofauti kidogo hasa kiutendaji
Juzi nilibatika kufika halmashauri moja inaitwa mji wa mbulu huko manyara.

katika kufatilia baadhi ya mambo niliambiwa kuanzia RC,DC,DED,SLO,AFISA ELIMU wote ni wanawake.
naombeni wazoefu wa masuala ya uongozi na hii halmashauri je mambo yanaenda vizuri au kuwepo kwa huo mlolongo kuna impact yoyote kiutendaji?

Nipo hapa kujifunza
Ni sawa.
Bora mwanamke asiwe rais.
 
Mimi nikisha enda hata hospital nikakutana na daktari wa kike akanitibu na kuniandikia dawa hakika hata kuzitumia siendi kuzitumia sasa huko kwenye hizo halmashauri sijui itakuaje
 
mi ni mwanamke mkuu,nawajua wanawake wenzangu pia though mimi napambana ila nature ni nature
Chini ya DED wapo wasaidizi wengi tu wanaume.
RC ni bosi wa halmashauri zote zilizopo mkoani kwake
RC ni bosi wa halmashauri zote zilizopo mkoani kwake

RC ni bosi wa halmashauri zote zilizopo mkoani kwake
Watoto wa 2000 buana, ni taabu sana!
Tofauti ya wilaya na halmashauri huenda ni taabu kwao.
Go back to school
 
Katika pita pita zangu kuna jambo nimeliona japo kwangu nimelichukulia kwa sura tofauti kidogo hasa kiutendaji
Juzi nilibatika kufika halmashauri moja inaitwa mji wa mbulu huko manyara.

katika kufatilia baadhi ya mambo niliambiwa kuanzia RC,DC,DED,SLO,AFISA ELIMU wote ni wanawake.
naombeni wazoefu wa masuala ya uongozi na hii halmashauri je mambo yanaenda vizuri au kuwepo kwa huo mlolongo kuna impact yoyote kiutendaji?

Nipo hapa kujifunza

Hamia hapo haraka. Unaweza kujikuta ndio King Mswati wa Halmashauri hiyo ya kusadikika
 
Sikiliza wewe ndugu utakuwa huelewi kitu RC ndiye bosi wa halmashauri zote kwenye mkoa wake .
Ninajua mfumo wote wa sekretarieti za mikoa hadi kwa ma dc na wakurugenzi wa halmashauri, maafisa tarafa hadi watendaji wa kata .
Kwenye uandaaji wa bajeti za halmashauri zote zinaunganishwa zinakuwa za mkoa ,mkoa kama mkoa ndio unazibeba unaziwasilisha tamisemi.
Ndio maana utasikia mkuu wa mkoa anakwambia mkoa wake umetengewa kiasi flani cha fedha hizo fedha sio za ofisi ya rc na ma dc wake tu ni pamoja na halmashauri.
Na kwa taarifa yako fedha zote zinazoenda halmashauri lazima mkuu wa mkoa anaziona na kuzijua na ana mamlaka ya kukagua utekelezaji wake.
Tamisemi wenyewe hawawezi kwenda kwenye halmashauri kuhoji chochote bila kupita kwanza kwa RC.
Naamini nimekupa elimu kidogo ya mfumo wetu wa serikali za mitaa ulivyo.
Mkuu mimi ni mkongwe nimemaliza pspa udsm 2005 , 2006 nikafanya interview halmashauri flani nikafauli nikaajiriwa kama afisa utumishi 2 mshahara tgs d gross wakati huo kama 270,000/= baadae nikalobyloby nikahamia ofisi ya mkuu wa mkoa ,madiwani walikuwa wanazingua sana kule halmashauri wakikuoana bar lazima wakufate wakupige mzinga wanajua tu wewe una hela.
Nimekutumia pdf document ya approved org structure ya office za Ma RC utaona local government authorities zilivyounganishwa na office hiyo



Watoto wa 2000 buana, ni taabu sana!
Tofauti ya wilaya na halmashauri huenda ni taabu kwao.
Go back to school
[/QUOTE]
 

Attachments

Back
Top Bottom